Shikamoo MuhengaTulizikimbia sana sindano hizi, enzi hizo maleria kali inasumba balaa, ukikwepa klorokwini sindano unazo. Wazazi waliokuwa wanatupeleka hospitalini shughuli pevu waliipata kwa sie watoto wakubwa tunaokimbia tukiona sindano zinachemshwa
krista pen dawa ile ni balaa unahisi inapita mpaka kwenye moyoNiliwahi kuchomwa sindano ya kristapen kupitia sindano ya kuchemsha.
Nakumbuka kipindi hicho walikua wanasema krista pen ni dawa kali sana hivyo ilikua na uwezo wa kutibu malaria.
Kulwenge -Bwasi -MAJITA 1989 surua ikiwe imenipiga kisawasawa.Miaka ya nyuma, sindano baada ya matumizi zilikuwa hazitupwi. Zikitumika zinachemshwa kwenye maji ya moto kama inavyoonekana pichani na baadaye hutumika kuchoma tena watu wengine. Sindano inatoka kwenye sufuria huku maji yakiwa moto balaa.
View attachment 3354029
Nakumbuka kuna kipindi bro alikwenda shule na wakapewa chanjo walichomwa sindano moja darasa zima. Aliporudi alikuwa analia hatari akidai sindano ni ya moto kupita maelezo.
Siku hizi ni sindano moja mtu mmoja, ukishachomwa inatupwa. Unakumbuka wapi Muhenga?
Sindano ya moto inawekewa kristapeni.Atakayedungwa hiyo sindano lazima ateme mate kwa kutumia macho.Miaka ya nyuma, sindano baada ya matumizi zilikuwa hazitupwi. Zikitumika zinachemshwa kwenye maji ya moto kama inavyoonekana pichani na baadaye hutumika kuchoma tena watu wengine. Sindano inatoka kwenye sufuria huku maji yakiwa moto balaa.
View attachment 3354029
Nakumbuka kuna kipindi bro alikwenda shule na wakapewa chanjo walichomwa sindano moja darasa zima. Aliporudi alikuwa analia hatari akidai sindano ni ya moto kupita maelezo.
Siku hizi ni sindano moja mtu mmoja, ukishachomwa inatupwa. Unakumbuka wapi Muhenga?
Kuchoma sindano ni kazi kama kazi zingine 😃Kuna siku ilivyokaribia muda wa kuchoma sindano nikaenda kucheza mbali, basi waktumwa njemba kunitafuta, nilipowaona zikaanza mbio za marathon, aisee , walinikamata wote tupo hoi.., wakanibeba juu gadi hospitali, nilipofika na kuona lile bomba, nikawaponyoka.., kazi ikaanza upyaaa
Niliowahi kuchomwa hiyo sindano kukausha kidonda,nilienda hospital nimevaa sandals(sendo), nilirudi nimezishika mkononi,niliziona nzito siziwezi kuvaa mguuni!krista pen dawa ile ni balaa unahisi inapita mpaka kwenye moyo