mughonile?

kalcha

Member
Apr 2, 2012
79
12
nipe fursa waungwana, nisikie na kuhoji
tujadili vilivyonona, ya mijini na vijiji
kutafaari kwa kina, hoja tunazozihitaji
kwa busara na hekima, naomba fursa jamvini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom