Mugabe hawamwezi. Sasa aalikwa na Pope!

Watakatifu wapo mbinguni mkuu na udongoni ni mwili tu hukumbuki yule mwivi aliyesulubishwa na Yesu alimwambia hakika leo hii utakuwa nami ktk ufalme wa Mbingu! Pia hao watakatifu tunawaomba watuombee kwa Yesu (Mungu kweli),kanisa halikatazi kuomba direct but unaweza kuomba msaada kwa watakatifu mbinguni wakuombee pia na imetendeka miujiza mingi tu mkuu.elewa msingi wako wa imani kabla hujarukia mambo.

Na ni kwa nini watakatifu wao (I mean Catholics) wengi ni Waitaliano? Je ni kwa kuwa they believe Roman Catholic was/is a traditional religion of Italians?
 
Wakuu wanaohoji imani katoliki ni bible au nini jibu jepesi ni kuwa imani katoliki ni katika biblia takatifu pamoja na mapokeo matakatifu.kufafanua kidogo mfano wenzetu waislamu wanaamini ktk kuruani tu sababu wao wanaamini kilishushwa direct na Mungu na kuwaagiza kufata kilichoandikwa mle tu.sisi tunaoamini ktk Yesu hakuacha maagizo yote aliyofanya na kufundisha yaandikwe na waandishi wa biblia hawakuandika biblia kama kitabu cha historia bali kama chemchem ya kuamsha imani vizazi na vizazi na hasa watu wa nyakati za Yesu walipoanza kuisha duniani.kuna mengi hayapo kwenye biblia ni masimulizi ya kweli tunayoamini ambayo kanisa kama lilivyochambua vitabu vya kuwepo ktk biblia ndivyo lilivyochambua mapokeo hayo.Kanisa limepewa funguo na Yesu mwenyewe kufunga na kufungua ya duniani hadi mbinguni hivyo kanisa kwa muongozo wa Roho Mtakatifu wanaweza kufatilia na kumtangaza mtu mtakatifu ili awe mfano kwetu tuliobaki na pia watakatifu wanaweza kutuombea kwa yesu mwenyewe maana wapo pamoja mbinguni.

Mungu ametupa Biblia as a manual and reference in everything. ukinunua kifaa cha electronic,kwamfano simu, unapewa manual, sindiyo? Sasa kama kuna jambo lolote unalotaka kujua na kuelewa si unasoma hiyo manual. Otherwise, kama watu wanaweza kuamua kufanya wanavyotaka kwanini Mungu alituachia Neno Lake?
Kama kuna jambo lolote la ki imani, lazima liwe katika Biblia, au sivyo Mungu atakopo tuuliza kwamba 'hayo yametoka wapi' tutamwambia nini?
Wapi kwenye Biblia palipo aandikwa kwamba mtu akifa unaweza kuchunguzwa maisha yake na kumfanya mtakatifu?.'But in vain they do worship me, teaching for doctrines the commandments of men'.(Mathew15:9). If ye love me, keep my commandments (John 14 :15)
NB, Jesus never says 'If U love me follow what your church teaches or what mum/dad told told you,or what other people follow/believe or what you feel is right!

Please, i strongly advise you to read the Bible careful, God will not only punish us because of our evil deeds , but also because we never used the opportunity to learn about His will. Its is Better to stick to what is written in scriptures/Bible than to follow the teachings that are not written anywhere in the Bible. Its just a peice of advise take it or leave it, for whichever choice you make, u will be rewarded! My humble prayer for u is that u take it.
There is a way which seemeth right unto a man, but the end thereof are the ways of death. (Proverbs 14:12)
 
Na ni kwa nini watakatifu wao (I mean Catholics) wengi ni Waitaliano? Je ni kwa kuwa they believe Roman Catholic was/is a traditional religion of Italians?
Hapana mkuu mfano mdogo tu ni mashahidi wa uganda!
 


Mungu ametupa Biblia as a manual and reference in everything. ukinunua kifaa cha electronic,kwamfano simu, unapewa manual, sindiyo? Sasa kama kuna jambo lolote unalotaka kujua na kuelewa si unasoma hiyo manual. Otherwise, kama watu wanaweza kuamua kufanya wanavyotaka kwanini Mungu alituachia Neno Lake?
Kama kuna jambo lolote la ki imani, lazima liwe katika Biblia, au sivyo Mungu atakopo tuuliza kwamba 'hayo yametoka wapi' tutamwambia nini?
Wapi kwenye Biblia palipo aandikwa kwamba mtu akifa unaweza kuchunguzwa maisha yake na kumfanya mtakatifu?.'But in vain they do worship me, teaching for doctrines the commandments of men'.(Mathew15:9). If ye love me, keep my commandments (John 14 :15)
NB, Jesus never says 'If U love me follow what your church teaches or what mum/dad told told you,or what other people follow/believe or what you feel is right!

Please, i strongly advise you to read the Bible careful, God will not only punish us because of our evil deeds , but also because we never used the opportunity to learn about His will. Its is Better to stick to what is written in scriptures/Bible than to follow the teachings that are not written anywhere in the Bible. Its just a peice of advise take it or leave it, for whichever choice you make, u will be rewarded! My humble prayer for u is that u take it.
There is a way which seemeth right unto a man, but the end thereof are the ways of death. (Proverbs 14:12)
Mkuu ili uelewe hili na hasa vifungu ulivyotumia ni mada pana kidogo,labda ajitokeze mtu anisaidie ku clarify kwa ufupi ieleweke.hasa waraka wa mitume mbalimbali malengo,nyakati,utamaduni n.k. Bible inaitaji mwongozo wa Roho mtakatifu na wachungaji wapakwa mafuta wa ukweli kutufafanulia
 
You dont know what you are talking about! tafadhali chugunza what it means by beatification and then sainthood according to the Roman Catholic theology, From today John Paul 2 kwamjibu wa Kanisa Katolic wanesa ni 'Blessed', yaani na yeye ni kama Mama Maria. Which means baada ya kupitisha maombi kwa Yesu, unaweza kupitisha kwake kama ilivyo kwa Mariamu. And according catholic theology, he is now in 'Heaven' like Jesus. Ask an church priest, he will tell you this, or follow up what happened today in Vatican. Is this a biblical doctrine? If u tell me that u follow tradition, thats fine. But if u follow the Bible, its a big lie. Tafadhali soma Biblia, achana na utamaduni wa wazungu. Otherwise use the Bible to Prove your facts!


ELLET-

pole sana maneno hapo juu yenye rangi nyekundu yanaonyesha uwezo wako wa kifikra. mosi kiingereza ni utamaduni wa mwafrika kama sio basi ungeandika kiswahili. pili bibilia ni ya mwafrika kama sio basi kaa kimya.

fikiri kisha andika.
 

attachment.php


Duh mpaka mwili wa bwana alikula
 
Watakatifu wapo mbinguni mkuu na udongoni ni mwili tu hukumbuki yule mwivi aliyesulubishwa na Yesu alimwambia hakika leo hii utakuwa nami ktk ufalme wa Mbingu! Pia hao watakatifu tunawaomba watuombee kwa Yesu (Mungu kweli),kanisa halikatazi kuomba direct but unaweza kuomba msaada kwa watakatifu mbinguni wakuombee pia na imetendeka miujiza mingi tu mkuu.elewa msingi wako wa imani kabla hujarukia mambo.

Mtazamo,
Watakatifu waliopo Mbinguni, Biblia inataja watu wa 4; Musa, Abraham, Enock na Eliya. Wengine wote wapo makaburini including Maria, David, Solomon, Paul na John Paul 2, babu yako na wangu yaani ni mavumbi ni udongo. etc.

Mwizi Msalabani. Luke 23: 42, 43)
42And he said unto Jesus, Lord, remember me when thou comest into thy kingdom.
43And Jesus said unto him, Verily I say unto thee Today, shalt thou be with me in paradise. (original verse)
Sasa note carefully where the second coma is alafu soma tena hi statment which is confusing you.
And Jesus said unto him, Verily I say unto thee, Today shalt thou be with me in paradise. (CHAKACHUA VERSE)

Make a difference between these statements
1. I promise you today, I will give you your money
2. I promise you, today I will give you your money
Do these statements have the same meaning? No!. ya kwanza inasema kwamba jama anatoa ahadi siku hiyo kwamba he will give him his money; which means the money will be delivered any other day, not necessarily that day. The second says, he will give him his money that particulay day not any other day.
So ukirudi kwa yule mwizi msalabani utagundua kwamba ahadi yake ni kama statement ya Kwanza. Lakini pia ukisoma kwa undani Yesu baada ya kufufuka hakuenda moja kwa moja mbinguni, ndo maana alimwambia Mariamu 'usiniguse sijaenda kwa Baba'. Hata Yesu mwenyewe baada ya kufa hakuenda Mbinguni, moja kwa moja.
Sasa unaposema 'Watakatifu' wako wapo mbinguni wamefufuka saa ngapi na lini, na wameenda uko kupitia wapi?. Maana kabla ujaenda mbinguni lazima ufufuke! Yesu alienda mbinguni, na kaburi lake lipo wazi hakuna kitu. So is John Paul2 in heaven? How comes his coffin was in vatican, and his bones roting?!
 
[/COLOR]

ELLET-

pole sana maneno hapo juu yenye rangi nyekundu yanaonyesha uwezo wako wa kifikra. mosi kiingereza ni utamaduni wa mwafrika kama sio basi ungeandika kiswahili. pili bibilia ni ya mwafrika kama sio basi kaa kimya.

Ila ujumbe umefika, kwani kiswahili ilikua lugha yako!
Otherwise nikisema utamaduni wa wazungu naaminisha kwamba kama wewe ni mkristo umepewa Biblia, uisome na uifuate. kama imani yako kuna jambo alipo kwenye Biblia, jiulize limetoka wapi? Madhehebu yetu mengi ya kikristo yanafuata utamaduni ya kirumu. So if u have decided to call yourself a follower of Jesus Christ (christian) then follow the Bible.
Or else i have no problem with you if you are a pegan, u can follow some beliefs from the Bible and some from your culture. Yaani kwa Mungu Kidogo na kwa shetani kidogo!
 
...
Or else i have no problem with you if you are a pegan, u can follow some beliefs from the Bible and some from your culture. Yaani kwa Mungu Kidogo na kwa shetani kidogo!
Taratibu mazee. Kuwa mpagani sio sawa na kufuata sera za kishetani!
 
Taratibu mazee. Kuwa mpagani sio sawa na kufuata sera za kishetani!

Askari kanzu, Kama wewe sio mkristo na sio mfuasi wa Biblia uko sahihi kabisa. Ila kama wewe ni mkristo na unamwaamini Mungu Wa Mbinguni na neno lake (Biblia), then you are wrong.
You are either for God or for the Devil, for obedience or disobidience ,for truth or for a lie, there is nothing like kwa Mungu kidogo na kwa shetani kidogo (i.e no man's land) thats what i call peganism; in the Biblical context.
 
Wakuu wanaohoji imani katoliki ni bible au nini jibu jepesi ni kuwa imani katoliki ni katika biblia takatifu pamoja na mapokeo matakatifu.kufafanua kidogo mfano wenzetu waislamu wanaamini ktk kuruani tu sababu wao wanaamini kilishushwa direct na Mungu na kuwaagiza kufata kilichoandikwa mle tu.sisi tunaoamini ktk Yesu hakuacha maagizo yote aliyofanya na kufundisha yaandikwe na waandishi wa biblia hawakuandika biblia kama kitabu cha historia bali kama chemchem ya kuamsha imani vizazi na vizazi na hasa watu wa nyakati za Yesu walipoanza kuisha duniani.kuna mengi hayapo kwenye biblia ni masimulizi ya kweli tunayoamini ambayo kanisa kama lilivyochambua vitabu vya kuwepo ktk biblia ndivyo lilivyochambua mapokeo hayo.Kanisa limepewa funguo na Yesu mwenyewe kufunga na kufungua ya duniani hadi mbinguni hivyo kanisa kwa muongozo wa Roho Mtakatifu wanaweza kufatilia na kumtangaza mtu mtakatifu ili awe mfano kwetu tuliobaki na pia watakatifu wanaweza kutuombea kwa yesu mwenyewe maana wapo pamoja mbinguni.

Kama unaamini mchungaji anaweza kukuombea na ukapona kwa nini usiamini Musa,Eliya,Bikira Maria walio mbinguni ktk hali ya utakatifu washindwe?

Je waliokufa wanaweza kutusaidia tulio hai?

Mhubiri 9:5-6: kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.6. Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.

Ayubu 7:8-9: Jicho lake huyo anionaye halitaniangalia tena, macho yake yatanielekea lakini sitakuwepo. Kama vile wingu likomavyo na kutoweka, Ni vivyovivyo huyo ashukaye kuzimuni hatazuka tena kabisa.

Waebrania 9:27: Kama Watu walivyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.
Aliye kufa hana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kusubiri hukumu.

Biblia imetuagiza tuombe kwa nani?

Yohana 14:13-14: Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lolote kwa jina langu nitalifanya

Yohana 16:23: Amin, amin nawaambia, Mkimwomba Baba neno lolote kwa jina langu atawapa. Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu;ombeni, nanyi mtapewa ili furaha yenu iwe timilifu.

Kwanini Mungu aponye kupitia Watakatifu walio hai na sio wale waliokufa?

Ni agizo la Mungu.
Luka 20:38: Yeye si Mungu wa Wafu bali wa walio hai....
Luka 16:29: ...Walio hai..wanao Musa na Manabii duniani, na wanapaswa wawasikilize wao..Wasipowasikiliza hawatashawishika
hata akifufuliwa aliye kati ya wau..
Kwa maana nyingine, binadamu hana nguvu yeyote,uweza wote upo kwa Mungu, hivyo hakuna kitu kinakachomshinda
Mungu kufanya kupitia Watakatifu waliopo duniani mpaka imlazimu amtafute aliyepo katika wafu amsaidie.

Zaburi 16:3 Watakatifu waliopo duniani ndio walio bora, hao ndio ninaopendezwa nao......
Marko 16:15-18:...Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio, kwa jina langu watatoa pepo,watasema kwa lugha mpya, watashika nyoka,hata wakila vitu vya kufisha havitawadhuru kabisa,wataweka mikono yao juu ya wagonjwa,nao watapata afya....

...Kimsingi Mafundisho haya ya "walio hai" kumuomba Mungu kupitia "Wafu" sio ya kibiblia..
 
Je waliokufa wanaweza kutusaidia tulio hai?

Mhubiri 9:5-6: kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.6. Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.

Ayubu 7:8-9: Jicho lake huyo anionaye halitaniangalia tena, macho yake yatanielekea lakini sitakuwepo. Kama vile wingu likomavyo na kutoweka, Ni vivyovivyo huyo ashukaye kuzimuni hatazuka tena kabisa.

Waebrania 9:27: Kama Watu walivyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.
Aliye kufa hana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kusubiri hukumu.

Biblia imetuagiza tuombe kwa nani?

Yohana 14:13-14: Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lolote kwa jina langu nitalifanya

Yohana 16:23: Amin, amin nawaambia, Mkimwomba Baba neno lolote kwa jina langu atawapa. Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu;ombeni, nanyi mtapewa ili furaha yenu iwe timilifu.

Kwanini Watakatifu waliopo duniani waweze kuponya na sio wale waliokufa?

hakuna sababu ya Mungu kuwatumia walio kufa.

Luka 16:29: ...Wanao Musa na Manabii, na wawasikilize wao..Wasipowasikiliza hawatashawishika hata akifufuliwa aliye kati ya wau..
Kwa maana nyingine, binadamu hana nguvu yeyote,uweza wote upo kwa Mungu, hivyo hakuna kitu kinakachomshinda Mungu kufanya
kupitia Watakatifu waliopo duniani mpaka imlazimu amtafute aliyepo katika wafu amsaidie.

Zaburi 16:3 Watakatifu waliopo duniani ndio walio bora, hao ndio ninaopendezwa nao......
Marko 16:15-18:...Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio, kwa jina langu watatoa pepo,watasema kwa lugha mpya, watashika nyoka,hata wakila vitu vya kufisha havitawadhuru kabisa,wataweka mikono yao juu ya wagonjwa,nao watapata afya....

...Kimsingi Mafundisho haya ya "walio hai" kumuomba Mungu kupitia "Wafu" sio ya kibiblia..
Mkuu roho ya mtu baada ya kifo nayo inakufa? Kama haifi Inakuwa wapi? Hasa wanaokufa wakiwa watakatifu.
 
Je waliokufa wanaweza kutusaidia tulio hai?

Mhubiri 9:5-6: kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.6. Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.

Ayubu 7:8-9: Jicho lake huyo anionaye halitaniangalia tena, macho yake yatanielekea lakini sitakuwepo. Kama vile wingu likomavyo na kutoweka, Ni vivyovivyo huyo ashukaye kuzimuni hatazuka tena kabisa.

Waebrania 9:27: Kama Watu walivyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu.
Aliye kufa hana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya kusubiri hukumu.

Biblia imetuagiza tuombe kwa nani?

Yohana 14:13-14: Nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lolote kwa jina langu nitalifanya

Yohana 16:23: Amin, amin nawaambia, Mkimwomba Baba neno lolote kwa jina langu atawapa. Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu;ombeni, nanyi mtapewa ili furaha yenu iwe timilifu.

Kwanini Watakatifu waliopo duniani waweze kuponya na sio wale waliokufa?

hakuna sababu ya Mungu kuwatumia walio kufa.

Luka 16:29: ...Wanao Musa na Manabii, na wawasikilize wao..Wasipowasikiliza hawatashawishika hata akifufuliwa aliye kati ya wau..
Kwa maana nyingine, binadamu hana nguvu yeyote,uweza wote upo kwa Mungu, hivyo hakuna kitu kinakachomshinda Mungu kufanya
kupitia Watakatifu waliopo duniani mpaka imlazimu amtafute aliyepo katika wafu amsaidie.

Zaburi 16:3 Watakatifu waliopo duniani ndio walio bora, hao ndio ninaopendezwa nao......
Marko 16:15-18:...Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio, kwa jina langu watatoa pepo,watasema kwa lugha mpya, watashika nyoka,hata wakila vitu vya kufisha havitawadhuru kabisa,wataweka mikono yao juu ya wagonjwa,nao watapata afya....

...Kimsingi Mafundisho haya ya "walio hai" kumuomba Mungu kupitia "Wafu" sio ya kibiblia..
Unafahamu maana ya Yesu kushuka kuzimu na kukaa siku 3?
 
Askari kanzu, Kama wewe sio mkristo na sio mfuasi wa Biblia uko sahihi kabisa. Ila kama wewe ni mkristo na unamwaamini Mungu Wa Mbinguni na neno lake (Biblia), then you are wrong.
You are either for God or for the Devil, for obedience or disobidience ,for truth or for a lie, there is nothing like kwa Mungu kidogo na kwa shetani kidogo (i.e no man's land) thats what i call peganism; in the Biblical context.
Ellet, inabidi ujifunze zaidi mafundisho ya dini, haswa Biblia. Bado kuna mambo mengi naona hujaelewa!
 
Mkuu roho ya mtu baada ya kifo nayo inakufa? Kama haifi Inakuwa wapi? Hasa wanaokufa wakiwa watakatifu.


Nashukuru sana mkuu, tunachoweza kufanya ni kushare tu yale Mungu aliyonena kupitia neno lake, ambalo naamini linajieleza lenyewe.

Kimsingi Mungu anatuona wanadamu katika makundi mawili tu na vivyovivyo kwa wafu, kuna wema na waovu. Sisi tulio hai tunaishi katika mwili kwenye ulimwengu wa mwili, wakati wenzetu Wafu wao wapo kwenye ulimwengu wa roho, ulio na maeneo halisi kabisa ambayo roho zao zimekwenda.


Biblia pia inatueleza kuwa hawa wafu hawatakuwa hai mpaka siku ile ya mwisho watakapofufuliwa kwa ajili ya hukumu, aandiko haya yanajieleza yenyewe.

Katika Ufunuo 20:12-15, biblia inaelezwa maeneo mbalimbali ambayo waliokufa watatolewa kwa ajili ya hukumu

"Nami nikawaona wafu wakubwa kwa wadogo, wakiwa wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi na vitabu vikafunguliwa. Pia kitabu kingine kikafunguliwa ambacho ni cha uzima. Hao wafu wakahukumiwa sawasawa na matendo yao kama yalivyoandikwa ndani ya hivyo vitabu. Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyotenda" .

Yesu Mwenyewe ametueleza hili kwenye

Yohana 5:28:"………saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake, Nao watatoka wale waliotenda mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu"

Luka 14:13-14:"…tenda wema maana utalipwa katika ufufuko wa wenye haki"

Mtume Paulo anaeleza pia kwenye 1 Wathesalonike 4:13-18: "Lakini ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti,msije mkahuzunika kama wasio na matumaini, maana ikiwa twaamini ya kuwa Kristo alikufa na kufufuka,vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu,. Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu,nao waliokufa katika kristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai,tutanyakuliwa pamoja nao mawinguni… "

1 Wakorintho 15:52 "…Kwa dakika moja kufumba na kufumbua,wakati wa parapanda ya mwisho,maana parapanda italia na wafu watafufuliwa.."

Matendo 23:15:"….. kutakuwa na ufufuo wa wafu, wenye haki na wasio na haki pia."

So kupitia maandiko hayo unaweza kuona kuwa kumbe ata wafu walioishi maisha matakatifu kabisa katika uhai wao, hawana uwezo wa kufanya lolote katika maisha yetu haya, na hawatakuwa "hai" mpaka siku ile ya hukumu watakapofufuliwa na kuungana na wale watakaokuwa hai wakati huo kwa ajili ya kupewa thawabu zao kufuatana na yale walioyatenda duniani.
 
Unafahamu maana ya Yesu kushuka kuzimu na kukaa siku 3?

Ukitaka kuokoa mtu aliyezama katika maji unafanya nini? Na wewe unazama ili kumsaidia. Mwanadamu alipo tenda dhambi sheria ilimkuhumu kifo (Yaani alizama katika kifo). Sasa nani angemuokoa? ilibidi Mungu Mwenyewe, kwasababu ya upendo, amtume mwanae Yesu aje atuokoe. Kwahio ilimbidi afe (azame katika kifo) ili apambane na kifo na baada ya siku 3 alishinda mauti. Kwahio basi, tunapo kua na imani na Yesu Kristo, tutakapo kufa, tutakufa kwa matumaini ya kufufuliwa.
Kama ilivyo kwa mtu alie zama katika maji, anaweza kukata au kukubali zawadi ya kuokolewa. Je, maamuzi ya kukata au kukubali anayafanya lini, wakati yupo hai au wakati amekufa? Bila shaka jibu ni wakati yupo hai. Na sisi katika maisha yetu wakati tupo hai, tunaweza kukubali au kukata. utakapo kufa, kama ujakubali wokovu ndo basi tena!
Sasa ndungu yangu, 'baba mtakatifu' J Paul 2, amefufuliwa lini. Maana amekufa juuzi tu 2005? Au Yesu alikuja kimya kimya?
 
Back
Top Bottom