Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
Watakatifu wapo mbinguni mkuu na udongoni ni mwili tu hukumbuki yule mwivi aliyesulubishwa na Yesu alimwambia hakika leo hii utakuwa nami ktk ufalme wa Mbingu! Pia hao watakatifu tunawaomba watuombee kwa Yesu (Mungu kweli),kanisa halikatazi kuomba direct but unaweza kuomba msaada kwa watakatifu mbinguni wakuombee pia na imetendeka miujiza mingi tu mkuu.elewa msingi wako wa imani kabla hujarukia mambo.
Na ni kwa nini watakatifu wao (I mean Catholics) wengi ni Waitaliano? Je ni kwa kuwa they believe Roman Catholic was/is a traditional religion of Italians?