Is beatification a Biblical teaching or a Roman Catholic tradition? Otherwise, if its a tradition, then am 'wasting' my time believing in Jesus Christ. I cant imagine in such a generation where knowledge in every aspect is diverse people are still fooled. eti mtu kaafa, watu fulani wanaka, na kuchunguza maisha yake alafu, wanasema ni 'mtakatifu', sasa Mungu kazi yake ni nini?. Ok thats fine. Kwanini wakati wa uhai wake, tulikua tunamuita baba mtakatifu
Let me ask u. Are you written anywhere in the Bible? If not then be ready to learn. Ukisoma historia ya kanisa, Baba Mtakatifu ni jina analopewa kiongozi wa kanisa Katoliki. Ni kuelezea ukuu na utakatifu wa cheo na wajibu wa yule mtu anayekalia kiti cha mtakatifu petro aliyekuwa papa wa kwanza, kwamba aishi kitakatifu.
Mungu yupo pamoja na kanisa lake kama Bwana Yesu alivyoahidi hata ukamilifu wa dahari na huu ni mfano mmojawapo.
Mpaka kuja kutangazwa mwenyew heri ni kuwa Mungu Mwenyewe ameridhia maana alimponya mtawa aliyekuwa na parkinson's disease kwa maombezi ya papa John paul II.
kwa maelezo mengi zaidi waone mapadre wakatoliki wakufundishe zaidi.