hivi mfumo unaouongelea hauongozwi na raisi mwislamu? yaani nyie hata mbebejwe ...kwani nani kawakatalia kwenda shule bwana..nyie wenyewe mmechagua madrasa acha tuwe superior
hatuwezi kuangalia msitakabali wa taife letu wakati tabaka moja linajiona ni superior kuliko jingine. watu wanashangilia kuona waislamu wanakosa elimu sababu ya mfumo mbovu kabisa wa kiutawala