Mufti wa Tanzania shekhe zubeir jitafakar.

Mufti wa Tanzania shekhe zubeir jitafakar.

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2018
Posts
17,164
Reaction score
24,628
Katika hali ya kushangaza kabisa unatoa matamko ambayo yanashangaza na kusikitisha sana.
Mufti unataka viongozi wasikae kimya raisi akitunwa ila husemi katunwa na nani?
Mufti unataka viongozi wote wa dini wachukue hatua kwa wanao mtu kama raisi bila kusema ni hatua gan
Mufti huoni madhara ya anachofanya mwaipopo unayemuita shekhe?
 
Katika hali ya kushangaza kabisa unatoa matamko ambayo yanashangaza na kusikitisha sana.
Mufti unataka viongozi wasikae kimya raisi akitunwa ila husemi katunwa na nani?
Mufti unataka viongozi wote wa dini wachukue hatua kwa wanao mtu kama raisi bila kusema ni hatua gan
Mufti huoni madhara ya anachofanya mwaipopo unayemuita shekhe?
ok. :1Head:
 
Katika hali ya kushangaza kabisa unatoa matamko ambayo yanashangaza na kusikitisha sana.
Mufti unataka viongozi wasikae kimya raisi akitunwa ila husemi katunwa na nani?
Mufti unataka viongozi wote wa dini wachukue hatua kwa wanao mtu kama raisi bila kusema ni hatua gan
Mufti huoni madhara ya anachofanya mwaipopo unayemuita shekhe?
Nilidhan ametwaliwa
 
Sheria za dini ni kwa maskini tu wewe uliona wapi mjane wa kislam aliyeeda anakumbatiwa kwani lini uislam unaruhusu mwanamke kukumbatina na mwanaume asiye mumewe
 
Katika hali ya kushangaza kabisa unatoa matamko ambayo yanashangaza na kusikitisha sana.
Mufti unataka viongozi wasikae kimya raisi akitunwa ila husemi katunwa na nani?
Mufti unataka viongozi wote wa dini wachukue hatua kwa wanao mtu kama raisi bila kusema ni hatua gan
Mufti huoni madhara ya anachofanya mwaipopo unayemuita shekhe?
Hakuna tofauti kati ya BAKWATA na umoja wa vijana wa CCM au umoja wa wanawake wa CCM.
 
Katika hali ya kushangaza kabisa unatoa matamko ambayo yanashangaza na kusikitisha sana.
Mufti unataka viongozi wasikae kimya raisi akitunwa ila husemi katunwa na nani?
Mufti unataka viongozi wote wa dini wachukue hatua kwa wanao mtu kama raisi bila kusema ni hatua gan
Mufti huoni madhara ya anachofanya mwaipopo unayemuita shekhe?
 

Attachments

  • VID-20260910-WA0003.mp4
    3.9 MB
Katika hali ya kushangaza kabisa unatoa matamko ambayo yanashangaza na kusikitisha sana.
Mufti unataka viongozi wasikae kimya raisi akitunwa ila husemi katunwa na nani?
Mufti unataka viongozi wote wa dini wachukue hatua kwa wanao mtu kama raisi bila kusema ni hatua gan
Mufti huoni madhara ya anachofanya mwaipopo unayemuita shekhe?
Rais anatukanwa kanisani kwa Gwajima kila siku unataka watu wakae kimya.
 
Back
Top Bottom