Mufti ataka Rais Samia aombewe

Atamuombea + kumfanyia mandingo mbona

Ova
Gentleman,
kwa neema na baraka za Mungu,
kipenzi cha waTanzania Dr.Samia Suluhu Hassan ataiongoza Tanzania kwa amani mpaka atakapomaliza ngwe yake ya pili 2030.
 
Huyo Mufti atakuwa ni wakala wa shetani anayetaka kumsaidia muuaji. Wanataka kusema huyo muuaji ana mapepo ndiyo yaliyosababisha afanye mauaji? Hii mbinu ni sawa na ile ya walevi wanafanya uovu, wakikamatwa wanajitetea kuwa walikuwa wamelewa!
 
hiki ndo kimesababisha tusile eid jana😡
 
Kama kuna kijana yuko sharp hapo amzabe kibao huyo mufti kama Mwinyi alivyozabwa kibao.
 
Aombewe na nani? Kwani akimuombea yeye haitoshi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…