Sahihi KabisaYaani haijalishi kitu kina ukubwa au udogo kiasi gani kama unaona kimekufaa unakichukua na kama hakifai unakiacha.. Na wema hauozi hata iwe ni punje ya mchanga
Mungu atusaidie kwa kweli maana mahusiano ni changamotoWatu wamesahau kuenziana kwenye mahusiano... Na ndio siri wazee enzi na enzi wamefanikiwa.. Leo vijana tunatafutiana sababu tu ilimradi kutiana hila!