Kwa ufupi1. Macho kukosa uono anaona giza
2.Ubongo kuchanganyikiwa kwa hofu na kukosa oxygen
3.Moyo kusimama kabisa (hapa pana maumivu Makali mno)
4.Pumzi kukata kabisa hapa ndio mtu anatapatapa au kupumua kwa nguvu ili kuitafuta
5.Mifumo ya mawasiliano katika mwili kufa kabisa na hapa ubongo ukishasimama ndio total death!
Ni jambo lenye maumivu makali mno!!
Jamani hizi theory nyingine mnazitoaga wapi?1. Macho kukosa uono anaona giza
2.Ubongo kuchanganyikiwa kwa hofu na kukosa oxygen
3.Moyo kusimama kabisa (hapa pana maumivu Makali mno)
4.Pumzi kukata kabisa hapa ndio mtu anatapatapa au kupumua kwa nguvu ili kuitafuta
5.Mifumo ya mawasiliano katika mwili kufa kabisa na hapa ubongo ukishasimama ndio total death!
Ni jambo lenye maumivu makali mno!!
Vitabu vya manabii ndio vinavyotuongozaJamani hizi theory nyingine mnazitoaga wapi?
Kifo ni jambo ambalo hakuna mwanadamu hai amewahi kukutana nalo, we yote hayo umeyajuaje?
Tusubiri tu zamu zetu zifike yatakayo kuwepo tupambane nayo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mi sipendi hata uzeeke, uwage hivyo hivyo
Maandiko gani? Hizi hafithi za kidini?
HaaaahaaaaHizi mada zingine zinatutoa kabisa kwenye mstari,ndio maana huwa sipendi kabisa kulala
Unataka kuongea neno muhimu mno la mwisho duniani na milele hutaongea tena na unaenda kuoza milele neno hilo halitoki kwasababu pumzi hewa ya kusukuma mapafu ndio inamalizikia milele milele na milele hiki ni kitisho
hahahaha metaphysical knowledge (beyond of man ability) mkuu sasa sijajua alikufa au laaahwewe umejuaje?
Ata yule msema kweli kipenzi cha Mungu.Wenye dhambi kidogo....ila wanasiasa hakuna anayekufa kistaarabu...never
Sent using Jamii Forums mobile app