Muda umefika wa Chadema Kuongoza Nchi

Sumti

JF-Expert Member
Jan 30, 2016
2,311
2,157
Habari wana JamiiForums

Niende moja kwa moja kwenye hoja. Naona muda muafaka wa upande wa pili kuongoza Nchi ni sasa. Na hii tuanze 2019 ktk uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae tunyang'anye wabunge kwa 60%.

Suala la msingi tu ni kujiuliza, nani abebe bendera ya CHADEMA na kuuzika kwa zaidi ya asilimia 70? Muelekeo wa CHADEMA kushinda na kuchukua Nchi 2020 unaonekana wazi kwa kuwa Serikali iliopo hakuna hata moja la maana ililofanya mpaka sasa.

Ni muhimu tukajiandaa na kujipanga ili kutekeleza takwa hili. Ni nani tumuweke 2020 atakaeuzika na kutuongoza vizuri? Maana hakuna ubishi, CHADEMA itashinda ila tutahitaji Mgombea ambae hatutakuwa na mashaka nae.

Je, ni Shujaa Lissu, Mbowe, Lowassa, Heche, Sugu, Lema au ni nani??????

Nawasilisha, peopleeeeeeeeeeeeess.....!
 
Yan jamaaaa umebugi kwa hii tumeeee! Hata nani agombee kutoka wapi ni ndo kuitoa kijani
 
Habari wana jamii forum. Niende moja kwa moja kwenye hoja. Naona muda muafaka wa upande wa pili kuongoza Nchi ni sasa. Na hii tuanze 2019 ktk uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae tunyang'anye wabunge kwa 60%. Suala la msingi tu ni kujiuliza, nani abebe bendera ya Chadema na kuuzika kwa zaidi ya asilimia 70? Muelekeo wa Chadema kushinda na kuchukua Nchi 2020 unaonekana wazi kwa kuwa Serikali iliopo hakuna hata moja la maana ililofanya mpaka sasa. Ni muhimu tukajiandaa na kujipanga ili kutekeleza takwa hili. Ni nani tumuweke 2020 atakaeuzika na kutuongoza vizuri? Maana hakuna ubishi, Chadema itashinda ila tutahitaji Mgombea ambae hatutakuwa na mashaka nae. Je ni Shujaa Lissu, Mbowe, Lowassa, Heche, Sugu, Lema au ni nani?????? Nawasilisha, peopleeeeeeeeeeeeess.....!
Hakuna hata moja la maana ililolifanya
Na hiki ndo kinachotufanya tuonekane wote wenye mawazo mbadala kuwa n wapingaji tu yan.
Hebu ficha uchi tupate uchi omela.
 
Habari wana jamii forum. Niende moja kwa moja kwenye hoja. Naona muda muafaka wa upande wa pili kuongoza Nchi ni sasa. Na hii tuanze 2019 ktk uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae tunyang'anye wabunge kwa 60%. Suala la msingi tu ni kujiuliza, nani abebe bendera ya Chadema na kuuzika kwa zaidi ya asilimia 70? Muelekeo wa Chadema kushinda na kuchukua Nchi 2020 unaonekana wazi kwa kuwa Serikali iliopo hakuna hata moja la maana ililofanya mpaka sasa. Ni muhimu tukajiandaa na kujipanga ili kutekeleza takwa hili. Ni nani tumuweke 2020 atakaeuzika na kutuongoza vizuri? Maana hakuna ubishi, Chadema itashinda ila tutahitaji Mgombea ambae hatutakuwa na mashaka nae. Je ni Shujaa Lissu, Mbowe, Lowassa, Heche, Sugu, Lema au ni nani?????? Nawasilisha, peopleeeeeeeeeeeeess.....!
Unakuja kuuliza humu?
Wote ni Chadema? Hamna vikao vya Chama siku hizi? Halafu unataka kuongoza nchi.
 
Tatizo ni tume na policcm. Na jiwe kashatoa biti marufuku mteule wake( wakurugenzi) kumtangaza mpinzani kashinda.
 
Sio kwa Tume hii na sheria hii ya uchaguzi.

Mi najiuliza kwanini wapinzani hawataki kukomalia katiba mpya...... ingeandaliwa mikakati ya kufanya aliyoyatamka yabadilike, lakini naona kimya na hakuna anayeguswa kwamba hilo ndo tatizo la wapinzani kuingia ikulu.
 
Habari wana jamii forum. Niende moja kwa moja kwenye hoja. Naona muda muafaka wa upande wa pili kuongoza Nchi ni sasa. Na hii tuanze 2019 ktk uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae tunyang'anye wabunge kwa 60%. Suala la msingi tu ni kujiuliza, nani abebe bendera ya Chadema na kuuzika kwa zaidi ya asilimia 70? Muelekeo wa Chadema kushinda na kuchukua Nchi 2020 unaonekana wazi kwa kuwa Serikali iliopo hakuna hata moja la maana ililofanya mpaka sasa. Ni muhimu tukajiandaa na kujipanga ili kutekeleza takwa hili. Ni nani tumuweke 2020 atakaeuzika na kutuongoza vizuri? Maana hakuna ubishi, Chadema itashinda ila tutahitaji Mgombea ambae hatutakuwa na mashaka nae. Je ni Shujaa Lissu, Mbowe, Lowassa, Heche, Sugu, Lema au ni nani?????? Nawasilisha, peopleeeeeeeeeeeeess.....!

Over your dreams
 
Back
Top Bottom