Haya nakuunga bega.hakuna mbabe mbele ya nyapu Mkuu kama unabisha nikupe namba ya Samson
Hapana. Ila huo mguu ni mrefu sana... We unaonaje hilo buti?Wewe ni mbilikimo?
hahaaaahapo kasahau hata ananyota ngap, mfungwa akija ghafla yeye ndo atampigia salute, mana akili zimehamia kwenye kile kichwa pendwa
Unatafuta kipigo cha mbwa Koko.
Anaitwa Beatrice Nani? Kwako KhadijaMngejua raha aliyoipata huyo Beatrice picha yake kutrend mtandaoni mngeacha kumpa kik
Beatrice Conrad. . Afu hilo Khadija umenichekesha nalo ujue.Anaitwa Beatrice Nani? Kwako Khadija
Ahahaaa kwaniniBeatrice Conrad. . Afu hilo Khadija umenichekesha nalo ujue.
Mimi sijaona kitu, zaidi ya vitu vyeupe vimechomokeza kwenye mdomo wa mtu flani hapo utadhani anatema uma....Kwani hizo picha zina tatizo gani?
Huyu ni kada wa chama cha mboga mboga.. Kwako jesse johnAnaitwa Beatrice Nani? Kwako Khadija
Chama Kipi Hiko? Kwako Blance86Huyu ni kada wa chama cha mboga mboga.. Kwako jesse john
Ccm .. Kwako mwalimu kashashaChama Kipi Hiko? Kwako Blance86