Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Muda utaongea…
Kumbe jamaa huwa anatabasamu, kweli nimeamini hamna mkate mgumu mbele ya chai. Hata baunsa kwa mwanamke hulegea.Muda utaongea…View attachment 815606
Wewe ni mbilikimo?Kha! Hicho kiatu cha kamanda ni kirefu kama treni la Mwakyembe . Hicho kiatu chake kimoja, mie nachomeka miguu yangu yote miwili!
Asee sijawahi kucheka ila leo nimechekahakuna mbabe mbele ya nyapu Mkuu kama unabisha nikupe namba ya Samson