Muda si mrefu nadhalilika hapa Nyama Choma

Muda si mrefu nadhalilika hapa Nyama Choma

Niko na mchepuko na rafiki zake wa wili yan wako kama komba wanagida mvinyo kama wametukania leo.Mpaka saa hizi saa23:00 pm. Wameshatafuna laki unusu yani 150,000/

Na bado wanaonesha wako hai na mimi nimebakiwa na 8300/ sa sijui nile kudadadeki. Yani 80% ya mshahara ushapotea na leo ndio tarehe 30, ishakula kwangu yani hata pombe haishuki. Alaf unaona kama wamenishtukia kua salio limekata maana wanatumianamessage tu, nawaona.

mbona hizi mimi huwa hazinitokei??!! inawezekana ni kwasababu wanawake ninaowachukua
1.sio waswahili kiasi cha kufanya hivyo
2.sura yangu ngumu inawaogopesha kuthubutu huo ujinga
3.wananiona nimechoka kiasi wanajua wakija timu wataishia kulipa wenyewe au nitawaachia nyayo tu!
 
Hahahahahaa ongeza maisha mkuu" a day without laughing is a terrible day

Kweli bhana..
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
kzba umepotelea wapi? Hapa nawaza kuna lililokutokea baya mkuu...
 
Last edited by a moderator:
Niko na mchepuko na rafiki zake wa wili yan wako kama komba wanagida mvinyo kama wametukania leo.Mpaka saa hizi saa23:00 pm. Wameshatafuna laki unusu yani 150,000/

Na bado wanaonesha wako hai na mimi nimebakiwa na 8300/ sa sijui nile kudadadeki. Yani 80% ya mshahara ushapotea na leo ndio tarehe 30, ishakula kwangu yani hata pombe haishuki. Alaf unaona kama wamenishtukia kua salio limekata maana wanatumianamessage tu, nawaona.
Pole mkuu maana mpaka umesahau kwamba kwenye
muda tukitumia mfumo wa masaa 24 hatuandiki AM/PM
hapo penye red inaonyesha ni kweli umekamatwa pabaya,
nilidhani unatania.
 
Huwezi kucheka kama mimi.
Whela za kuhesabia mfukoni na hamu ya kugegeda inabidi mkutane bar mleweshane kwanza. Enzi zetu unakaribishwa home na mama mkwe mtarajiwa anapika pilau. Mkimaliza kula unasaidia kuosha vyombo, mama anajua nimepata mkamwana. Asipokuona wiki tatu anakuulizia kama anakujua vile.

Cc Kaunga gfsonwin
Haaaaaaa stori za hivi huwa zanichekesha saaana aiseee
 
Last edited by a moderator:
Kubwa jinga ndio hili mleta mada kazi kutia hasara tu
 
Huwezi kucheka kama mimi.
Whela za kuhesabia mfukoni na hamu ya kugegeda inabidi mkutane bar mleweshane kwanza. Enzi zetu unakaribishwa home na mama mkwe mtarajiwa anapika pilau. Mkimaliza kula unasaidia kuosha vyombo, mama anajua nimepata mkamwana. Asipokuona wiki tatu anakuulizia kama anakujua vile.

Cc Kaunga gfsonwin
ivi umesahau mwali unaenda kupanda maua kwenye bustan ya mchuchu wako...............afu unamsaidia mama mkwe kazi zake hasa za jikon. Afu mkikaa jikon anakusimulia stori za mwanae wakat anakua.
ukitoka apo mawifi wanakusindikiza nyumban, kumbe njian ndo unaenda kukutana na kaka yao.
afu unajikuta ni kautaratibu flan ivi kila baada ya muda flan unaenda tu kwao. Msimu wa kulima ndo usiseme siku unaaga kabisa kwamba naenda kumsindikiza mchuchu porin kuvuna.

baa uiskie kwa jiran aisee kwanza utaendaje?
 
Faida ya Mchepuko ndo kama hyo. Mkeo hajui matumizi nawe una hela za kumwaga....kula raha kitu roho inapenda
 
Jf ina vituko na maajabu yake unaweza kukuta mtoa mada alikuwa chini ya mti ana wapiga kamba...!
 
Huwezi kucheka kama mimi.
Whela za kuhesabia mfukoni na hamu ya kugegeda inabidi mkutane bar mleweshane kwanza. Enzi zetu unakaribishwa home na mama mkwe mtarajiwa anapika pilau. Mkimaliza kula unasaidia kuosha vyombo, mama anajua nimepata mkamwana. Asipokuona wiki tatu anakuulizia kama anakujua vile.

Cc Kaunga gfsonwin

kutongozana kwa zamani naona kuko vizuri siku hizi....lol
vyomvo vyako mwenyewe ukute vinakushinda kuosha vya mama mkwe je
 
Back
Top Bottom