tz2015
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 982
- 447
Mi naona hii ni matokeo ya kumganda mtu
utadhani wanawake wameisha mjini.
binti anakwambia hakutaki wee umo tu,
anakwambia ana mtu,unamkazia mimacho
na kusema tukutane jioni ili tuzungumze vizuri.
ukimchosha,anakufanyia kitu inaitwa
''kwa mfano'' na ndo hicho kilikutokea kaka.
Kesho yake lazima tukukute jf.
Naamini mmenisoma,kabla mabinti
hawajajirekebisha tuanze sisi wanaume
kuwa wastaarabu,mtu hakutaki
chukua zako 50.Mwachie 50 zake.
Na huyo binti kakufanyia ubinadamu,
ukisoma sheria ya makosa ya kujamiiana
utakuta kumganda mtu ni kosa kama kubaka vile
sasa hawa wanaowaletea mpaka ndugu zao
kula lunch wanawaepusheni na jera.
utadhani wanawake wameisha mjini.
binti anakwambia hakutaki wee umo tu,
anakwambia ana mtu,unamkazia mimacho
na kusema tukutane jioni ili tuzungumze vizuri.
ukimchosha,anakufanyia kitu inaitwa
''kwa mfano'' na ndo hicho kilikutokea kaka.
Kesho yake lazima tukukute jf.
Naamini mmenisoma,kabla mabinti
hawajajirekebisha tuanze sisi wanaume
kuwa wastaarabu,mtu hakutaki
chukua zako 50.Mwachie 50 zake.
Na huyo binti kakufanyia ubinadamu,
ukisoma sheria ya makosa ya kujamiiana
utakuta kumganda mtu ni kosa kama kubaka vile
sasa hawa wanaowaletea mpaka ndugu zao
kula lunch wanawaepusheni na jera.