Muda si mrefu nadhalilika hapa Nyama Choma

Muda si mrefu nadhalilika hapa Nyama Choma

😀😀😀😀😀 hahahahaha maji ukiyavulia nguo.... mambo mengne mnayataka wenyewe. Ila pole sana mkuu
 
Hao wanawake wanaokubali kuenda out na mtu na boyfriend wake ndio siwaelewi, hw can u have nothing else to do than to be a third wheel on a date?
 
kzba

Hahahhah@kzba you've made my day. Khaa!!...... wanatumiana sms tu? Utakosa hata nauli sepa kakaangu. Shauri ako na hapo hawajaomba pesa ya taxi.
 
Last edited by a moderator:
Kama 80% ni 150k basi mshahara wako.kamili ni 187,500 inakuwaje uandeleza starehe na pesa ndogo hivi.
 
kuna jamaa jana humu jf alikua natukio kama lako aka escape from sobibo hata bill yake akailipa dem sasa we onesha ustaa,. uone

Umeniwahi ilikuwa nimwambie hiyo ya jana , lkn kama vp hiyo iliyobaki achukue chumba huo.mchepuko uingie na hao marafiki awamege wote pmbavuu7uu
 
Mm yalinikuta haya!
Siku ya kwanza ya date demu akaja na marafiki zake 3 na kaka yake mdogo ambaye kaja kuchukua take away kwa ajili ya mama yao!

Nilikuja na elfu 35 ziliisha kuwalipia bajaji tu!Nikawaambia ukweli sina kitu hela zoye zimeishia kwenye ussfiri walinitukana sana

Nikatoka kwa mguu toka date place Buguruni hadi home Mabibo
 
Ya kweli hayo au...?

Hiyo misala mbona wengine huwa haitupati...?


Inategemea aina gani ya wanawake unadate kiongozi. Njoo huku buguruni gana, kwa mnyamani nk uone watakuja wangapi.
 
Saf sana maana wajinga ndo waliwao acha wakule mpaka ukome huo ujinga
 
Hivi ninyi hao wanawake vilaza hivyo mnawapatiaga wapiiiiii? huwa mi hainiingii akilini bf wangu kaniita somewhere nibebe mashoga zangu kweli , huo ni kama ushangingi flani hivi.

yaan huyo rafiki atalia machozi ya damu siendi naye kwanza mnakosa uhuru wa malovee jaman nsikulishe kipande cha nyama wametoa macho? kwanza mambo ya ushoga saaana kwenye mapenzi yanaletaka unafiki sana hao ni rahisi kuwagombanisha aisee marafiki wapeni nafasi ndogo sana kwenye mapenzi mtakuja lia siku watawasambaratisha kabisa
 
Utawatoa vp wanawake watatu wakati una laki na nusu? Bora mwenzio aliesarenda na kukimbia.
 
Nilishawahi kuzungusha chipsi mishikaki sahani kama kumi na nne hivi (pamoja na vinywaji) ili kumng'oa mtoto flani. Nilibook appointment c akakataa kuja peke ake, eti anakuja na marafiki zake! Na ela ya kuwasafirisha juu. Yani ni kama niliwakodia costa vile. Kweli wa dada wa cku hizi lawama...
 
hivi ninyi hao wanawake vilaza hivyo mnawapatiaga wapiiiiii? huwa mi hainiingii akilini bf wangu kaniita somewhere nibebe mashoga zangu kweli , huo ni kama ushangingi flani hivi.

yaan huyo rafiki atalia machozi ya damu siendi naye kwanza mnakosa uhuru wa malovee jaman nsikulishe kipande cha nyama wametoa macho? kwanza mambo ya ushoga saaana kwenye mapenzi yanaletaka unafiki sana hao ni rahisi kuwagombanisha aisee marafiki wapeni nafasi ndogo sana kwenye mapenzi mtakuja lia siku watawasambaratisha kabisa

Yan dada we acha cjapata hata usingizi na cent 5 sinaaaa kudadadeki
 
Back
Top Bottom