Midumare Ngatuni Iwato
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 1,653
- 2,038
Salaamu ndugu zangu na imani kubwa sana wote wanajamii forum kwa mapendo makuu ya Muumba wetu na imani mpo salama
Nauliza kwa kutaka kujua kuwa nikipindi gani kizuri cha kwenda aja kubwa
Je asubuhi au mchana au usiku na baada ya Masaa mangapi kwenda Ajakubwa.
Asanteni naombeni ushauri
Nauliza kwa kutaka kujua kuwa nikipindi gani kizuri cha kwenda aja kubwa
Je asubuhi au mchana au usiku na baada ya Masaa mangapi kwenda Ajakubwa.
Asanteni naombeni ushauri