ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,313
- 41,062
- Thread starter
-
- #121
Kwani ana shida gani huyu mdau😎Trust me, bro People who match your vibe do exist don't let your own mind convince you otherwise they're out there you just haven't met them yet keep believing in yourself.
And you deserve all good you dreaming about ✨
He just needs someone on the same wavelength to keep life balanced and easy.Kwani ana shida gani huyu mdau😎
Umeongea vizuri dear mara zote hua una akili kubwa chukua🌹🌹Ukizungumzia muda zingatia pia wakati.
Ili unapotoa muda wako angalia pia kama wakati unakuruhusu!
Alikuambia ana hitaji😁😁He just needs someone on the same wavelength to keep life balanced and easy.
Lisemwalo lipo 😄Alikuambia ana hitaji😁😁
Biblia inatambua uwepo wenu. 😀😀Nilinunua kila nilichotaka kwa mda ule😅 ila haikunitosha nikimtaka na huyo anaetoa hela
Mapenzi hayatuui ila cha moto tutakiona hasa sisi wenye moyo safi
Kama halipo linakuja ( wahengaaLisemwalo lipo 😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Biblia inatambua uwepo wenu. 😀😀
Nimecheka kwa sautii lol 😆Heri wenye moyo safi, hao watamwona Bwana!
Aisee muda 🤔Time is just an Illusion. Kwa kimatumbi tunaweza kusema muda ni mawazo tu au fikra tulizozijenga akilini mwetu ambazo hazina ukweli wowote.
Shukrani kaka 🙏🙏Muda hauna uhusiano wowote na matukio, bali muda ni dhana tu ya kisomi iliyobuniwa inayotumika kuelezea mpishano wa matukio. Yaani muda ni dhana tu akilini mwetu, kusipokuwepo kitendo muda hauwezi kuwepo.
Muda hupimwa kwenye nafasi(space) ambamo ndimo matukio hutokea. Matukio au vitendo hivyo ni kama vile, Usiku au Mchana, asubuhi, jioni, kuzaliwa – ukuaji – kuzeeka – mpaka kifo. Muda hauishi sehemu yoyote na hauwezi kujitegemea.
Nimekurudisha schoolUmenikumbusha somo la physics sekondari mambo ya theory of relativity ya bwana albert estein
Natafuta Ajira pita na kwa huyu mdaukati ya vitu nimetumia muda mwingi kuvisoma ni muda wenyewe, hapa nimeanzia zama za mawe hadi digital age, mifumo yote ya kalenda nimepitia mpaka zile siku 11 zilizopotea zilizoleta kizaazaaa, mifumo yote ya saa na technologies zote za saa mpaka cesium-133 atom na atomic clock,
International Meridian Conference in Washington na zero longitude kupita Greenwich bila time haya yote yasinge kuwepo, kitendo cha ku link time na positioning systems hapa ndo nikaanza kuamini time and space are two side of the coin na huwezi kivitofautisha, hapa ndo hayo mambo ya kupoteza muda, hakunipa muda, yote ni kuchanganya space na time ambayo ni kitu kimoja space-time
sikuishia hapo, nikaenda traditional astronomy mpaka precisely observation maana bila muda kosingetokea kitu, Kepler's planetary motions mpaka principia mathematica, nikaachana na classical physics mpaka quantum physics, relativity and time travel, hakuna kitu kimenipotezea muda kama theoretical physics hapa nili base kwenye haya mambo ya muda.
Hili suala la muda ni mada ndefu sana na ni very interesting, sekunde moja ni kubwa sana ukitaka kujua ukubwa wa sekunde fanya software development halafu function zako ziwe zina excute for 2 seconds wakati inatakiwa less than 20ms
Watu wengi hawajui hata kwanini siku ina masaa 24 wakati tunaweza tukaamua tu siku nzima iwe ni saa moja? hawajui kwanini masaa 24 ndo optimum choice. wazee kwenye muda hapa kuna madesa mengi kuliko vitu vyote ulivyosoma shule.
Mimi nikiwa na muda basi nadili na huohuo muda maana kunamambo mengi bado nataka kuyajua kuhusu muda
Mbinguni moja kwa moja 😀😀🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka kwa sautii lol 😆
Mbavu zangu
So mie mbinguni 🏃♀️
Weuweeeee🔥Mbinguni moja kwa moja 😀😀
Hiyo ni neema ya upendeleo ambayo wengi wamekosa!
Dunia haichekeshi pamoja na watu wakeToo bad hii dunia ya mapenzi inawachukulia for granted.
Muda ni mada ndefu sana na theory nyingi zimeelezea kuhusu muda. Katika comment yangu nime-base kwenye theory of relativity ya albert eistein.Natafuta Ajira pita na kwa huyu mdau
Natamani kama kuna vingine uendelee kuandika nimevutiwa sanaMuda ni mada ndefu sana na theory nyingi zimeelezea kuhusu muda. Katika comment yangu nime-base kwenye theory of relativity ya albert eistein.
Isaac Newton nae alishawahi kuongea kusema kuhusu "muda". Alituambia muda ni kitu ambacho kinajitegemea na ni sehemu ya umbo la ulimwengu ambamo ndipo matukio utokea, yaani mtukio yanatokea ndani ya mstari wa muda ambao tayari upo.
Halafu kuna wazee wa time travel. Wanakwambia muda ni spidi ambayo unaenda nayo kulingana na spidi ya mwanga, yaani kadili unavyoenda kwa spidi ndogo kulingana na spidi ya mwanga ndivyo muda unaenda haraka, na kadili unavyoikaribia spidi ya mwanga muda unaenda taratibu.
Vipi kama ukienda kwa spidi inayolingana na spidi ya mwanga? maana yake kwako hakutakua na muda, ni kama tusema muda utakua umesimama. Vipi ukienda kwa spidi kubwa zaidi ya spidi ya mwanga? maana yake utakua mbele ya muda yaani ni kama matukio yanakua yanarudi nyuma.
Physics ni kisanga. Wazazi na walimu walinisisitiza sana alevel nisome sayansi kwa sababu nilikua nafaulu. Nikawaambia hapana naenda EGM
Aiseeee 🤔🤔🤔🙌🙌🙌Vipi kama ukienda kwa spidi inayolingana na spidi ya mwanga? maana yake kwako hakutakua na muda, ni kama tusema muda utakua umesimama. Vipi ukienda kwa spidi kubwa zaidi ya spidi ya mwanga? maana yake utakua mbele ya muda yaani ni kama matukio yanakua yanarudi nyuma.
Physics ni kisanga📌Physics ni kisanga. Wazazi na walimu walinisisitiza sana alevel nisome sayansi kwa sababu nilikua nafaulu. Nikawaambia hapana naenda EGM
Hebu jazia nyama kidogo umenipunjaMuda ni nini?
Muda ni maelekezo unayoyategemea na usiyoyategemea.....