super model
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 307
- 321
- Thread starter
- #381
Aisee huu mchezo usipokua mvumiliv unaweza kujikuta unaishi single mazima ndio ndoa zetu inabidi tuvumiliane asante mkuu kwa comment yakoKumbe siyo mimi tu ninayegombana na mke wangu. Vumilieni mmeumbwa tofauti . hata vikombe na vijiko vinagongana kabatini sembuse nyie binadamu.? Ni upepo tu yatapita. Ukiniona mimi na my wife kwa sasa utasema ndoa ndio hii.ngoja tuliamshe dude sasa. Hahahahahhah nimefungukaaaaaaaaa