Muda mfupi ujao,ukivaa nguo watu watakushangaa.

Muda mfupi ujao,ukivaa nguo watu watakushangaa.

mavazi yao yanasababidha kuongezeka Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume....
 
Co mda ukifika tayari wameanza ukivaa nguo ya heshima hasa madada wanaitwa washamba.
 
Ht iweje haitokea nikavaa nguo za kudhalilisha mwili wangu. Yaan ht zikiisha dukani,nitajishonea mwenyewe.
 
hawajielewi tu mdada mzma unaaha kifua wazi unategemea nini vimin wanamwonyesha nani mapaja asiyo kuwa nayo zaidi ya kujidhalilisha tu kama mzuri ni mzuri tu hata ukivaa nguo ya heshma utaonekana kwangu mimi nguo ndefu na heshma ndo mpango mzma wasivae kabisa
 
hataree.jpg

Kama hivi
 
Back
Top Bottom