Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,201
Kutokana na ongezeko kubwa la watanzania(wakubwa na wadogo),kuvaa mavazi yanayoacha nje sehemu kubwa ya miili yao kama makalio,matiti.mapaja naona muda si mrefu kundi hili litaibuka washindi na itafika wakati wewe utakaevaa nguo za heshima ndo utaonekana kituko na watu watakushangaa.
Wapi inaelekea jamii ya leo.
Wapi inaelekea jamii ya leo.