CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,784
- 6,180
Japo hamnijui kivile,
Huu uzi niliutamani toka kipindi kile,
Kabla hatujavamiwa na wapuuzi wale,
Hip hop nilianza nikiwa shule,
Sio kaka kipande aliyeanza kwa kusuka nywele,
Au the boss anayevamia train kwa mbele,
Mi ndo mkufunzi wa afande sele,
Msidanganyike na ukubwa wa KUFULI, funguo ni zile zile!!
Yo!
Huu uzi niliutamani toka kipindi kile,
Kabla hatujavamiwa na wapuuzi wale,
Hip hop nilianza nikiwa shule,
Sio kaka kipande aliyeanza kwa kusuka nywele,
Au the boss anayevamia train kwa mbele,
Mi ndo mkufunzi wa afande sele,
Msidanganyike na ukubwa wa KUFULI, funguo ni zile zile!!
Yo!