Africa duru/hatupo guru/
Madaraka kama Nkuru/
Zinza ama tume sio huru/
Kama ya lubuva jaji/
Ilivyofanya michezo
Kuna majina ya bajaji
Daftar halina maelezo
Amani ya ubabaishaji
Ya kuwalinda wenye nazo
Wanaofanya ufisadi
Na kutufanya hamnazo
mtengwa kama chindo/JF kwa kishindo/bongo fleva nawaweka lundo/kisha nawapa nyundo/umbwa kwenye lindo/Huwezi kushare Bili Nasi, wewe ni ligi ndogo/
kelele zako hazinipi stress, uki scream ki mbwa koko/
Natembeza nako kwa nako, wananiita chalii mbubu/
Na Fila size yako, brazamen usieitaka fubu/
mtengwa kama chindo/JF kwa kishindo/bongo fleva nawaweka lundo/kisha nawapa nyundo/umbwa kwenye lindo/
huu uzi ni kama cyfa/michano yenye sifa/karibu kamanda nifah /uwe queen latifah/hip hop haiwezi kufa/sio mziki wa kilofa/Wanafanya wanajidai, ili waonekane wame
Sasa nina mori ka Masai, aliyenyang'anywa sime
Wengine kwenye level hawakai, ila wanataka wanipime
Waambie hapa si kula mayai, bali hii game ya kiume
Na floor na goo ni soo kila ninapotimba
Nawa control njoo ila zizi la kondoo limeingia simba
huu uzi ni kama cyfa/michano yenye sifa/karibu kamanda nifah /uwe queen latifah/hip hop haiwezi kufa/sio mziki wa kilofa/
Wanafanya wanajidai, ili waonekane wame
Sasa nina mori ka Masai, aliyenyang'anywa sime
Wengine kwenye level hawakai, ila wanataka wanipime
Waambie hapa si kula mayai, bali hii game ya kiume
Na floor na goo ni soo kila ninapotimba
Nawa control njoo ila zizi la kondoo limeingia simba
Nachana bila biti/bila mic nawakaza nati/bongo fleva nawapa viti/mskize vesi tait/nawadis nawaita swit/mnakopi na kupest/mnaboa nawapa njiti/
Huwezi kushare Bili Nasi, wewe ni ligi ndogo/
kelele zako hazinipi stress, uki sream ki mbwa koko/
Natembeza nako kwa nako, wananiita chalii mbubu/
Na Fila size yako, brazamen usieitaja fubu/
Onja tungo takatifu, ka divai ya Vatican //pole kiwete unayetaka tifu, nitakumeza ka python
Siwezi battle na kipofu, nahisi nitakuonea //nimekubuu kwa route ndefu, ka vinu vya mkorea
So wape kwenu taharifa, kwa wale wasionijua, nasomeka ka lugha ya taifa, ukini dis unajisumbua
Onja tungo takatifu, ka divai ya Vatican //pole kiwete unayetaka tifu, nitakumeza ka python
Siwezi battle na kipofu, nahisi nitakuonea //nimekubuu kwa route ndefu, ka vinu vya mkorea
So wape kwenu taharifa, kwa wale wasionijua, nasomeka ka lugha ya taifa, ukini dis unajisumbua
Naweka kumbukumbu, kwa mistari ka' mmakonde/
Hip hop naibeba kama nundu, mgongoni kwa ng'ombe/
Rap game sio map#mbu, mabitozi wajigambe/
Sasa limeanza kabumbu, sogea chenga nikurambe/
Wanapost picha, mi napost noti/
Nawaficha, kama nimevaa koti/
Wanaruka sambasoti, kwenye koki watalowa/
Nimejikoki, kama joti nawashtua/
Demu ukipata mchumba, chunga sana usidilei/
Siku hizi kuna mitumba, na chupi zimeshuka bei.
I like this aiseeAfrica duru/hatupo guru/
Madaraka kama Nkuru/
Zinza ama tume sio huru/
Kama ya lubuva jaji/
Ilivyofanya michezo
Kuna majina ya bajaji
Daftar halina maelezo
Amani ya ubabaishaji
Ya kuwalinda wenye nazo
Wanaofanya ufisadi
Na kutufanya hamnazo
Onja tungo takatifu, ka divai ya Vatican //pole kiwete unayetaka tifu, nitakumeza ka python
Siwezi battle na kipofu, nahisi nitakuonea //nimekubuu kwa route ndefu, ka vinu vya mkorea
So wape kwenu taharifa, kwa wale wasionijua, nasomeka ka lugha ya taifa, ukini dis unajisumbua