Upiversity kama vipi njoo, tuonyeshe unaweza nini/
Sio kila siku tu majivuno, ilhali uwezo una uwalakini/
Kaboom nipe yangu tuzo, leo nashuka kwa kiswahili/
Kughani ndio yangu nguzo, kivipi heshima sistahili?
Dah! Kwisha habari. Hii thread ifungwe tu. First ever, in kiswahili.
Haha. Nilikuwa sijui kama nina uwezo wa kuondoka kiswahili. Sasa wakiniudhi nashuka mpaka kilatino.Bro sikuwezi..Bilingual master..Shindana na wengine
yoo yoo kama kawa kama dawa,
Wadau mpo sawa
Hizi era za ukawa
Peopless powerrrr
Baada ya salamu twende sawa
Haha. Nilikuwa sijui kama nina uwezo wa kuondoka kiswahili. Sasa wakiniudhi nashuka mpaka kilatino.
Hahaha. Vunja tu.Mi nitapiga ya kilugha kabisa
Swags zangu za jana leo ndo ukali wao //wanani dis kwa lines kipenzi cha madada zao
Do you think am cool? you don't know men //never test the king you can get shame
Dada asikupende vipi, shosti wake unayemletea umbea//
Unajisifu kwa kipi, mshukuru shemeji anayekulea//
Nitapata shame vipi, mimi natunga kipindi unaitwa mimba//
Huwezi tutisha kwa yes and this we mtoto wa Ras Simba//
mimi ndo yule mentali, ninaye kufunya we uongee //usiku dada yako halali, ananiwaza pedeshee
japo baba yako hataki, mi namega kisela aisee//mtoto nampa fataki,ila mpe pole mzee
Dogo unapenda SIFA, jiite Kopa maana Dully ni Dhahabu/
Kwa hayo Mashauzi yasiyo-ISHA nenda kaimbe Taarabu.
Kila kitu sister sister mpuuzi funga mdomo,
Huwezi aibika JF yote inajua demu wako mkono.
Wakuja rhymes zangu mi ni pesa, inayo hubiriwa na mzee wa upako //ukitaka drive verosa, basi nisome upate ujiko
vipi sasa mkuu mbona ka umepanic? , nilikwambia mi si level zako //au ndo unatafuta kick, upate sifa kwa demu wako
kumbuka mi ni dhambi ya mwisho, iliyo andikwa kwenye msaafu // huwezi nikwepa we bishoo , chlorine gas ni level chafu
Wakuja rhymes zangu mi ni pesa, inayo hubiriwa na mzee wa upako //ukitaka drive verosa, basi nisome upate ujiko
vipi sasa mkuu mbona ka umepanic? , nilikwambia mi si level zako //au ndo unatafuta kick, upate sifa kwa demu wako
kumbuka mi ni dhambi ya mwisho, iliyo andikwa kwenye msaafu // huwezi nikwepa we bishoo , chlorine gas ni level chafu
Mipasho na majigambo ya humu,
Kama wacheza cha ndimu,
Leteni michano ya hamu,
Watu watoe salute na salamu,
Halafu mmejitoa fahamu,
Kila mtu anajiona mtalaamu,
Kumbe nyote cha mtoto kwenye gemu,
Nimekuja kuchukua hatamu,
Maana mmeshindwa majukumu,
Ya kutoa mistari yenye elimu.
Mipasho na majigambo ya humu,
Kama wacheza cha ndimu,
Leteni michano ya hamu,
Watu watoe salute na salamu,
Halafu mmejitoa fahamu,
Kila mtu anajiona mtalaamu,
Kumbe nyote cha mtoto kwenye gemu,
Nimekuja kuchukua hatamu,
Maana mmeshindwa majukumu,
Ya kutoa mistari yenye elimu.
kwanza kula tano, karibu kwenye michano //una usongo hakuna mfano, ka mvua za elinino
Hapa hakuna promo, ka show za hip hop //ngoja utumike bro, ka bundle za ku surf
Hip hop ni darasa, you better know raimundo //Kama quiz inahitaji desa, kilaza umejaza uvundo
Tofauti inaongea, ka masaburi na kubenea //the world is not fair, jiulize why Dr slaa kapotea
Never Cross ma way, napiga tu huwa siongei//je unapenda starehe za sugar ray, shituka siku hizi malaya wamepanda bei