Qassim14
Senior Member
- Oct 10, 2017
- 182
- 202
Salaam wakuu wa idara zote,
Kama kichwa kinajieleza,
Mada ni muda gani sahihi wa kumchunguza mtu hadi unakuja kuwa na mahusiano nae ya kimapenzi? Pia ni muda gani baada ya kuwa nae katika mahusiano unafaa kukutana nae kimwili?
Ni hayo tu nawasilisha mada kaeni kwenye viti mada ipo mezani inahitaji mchango wa hali na mali kunisuru tunaolia lia na mapenzi ya kupemda sana halafu kuumia zaidi.
Karibuni.
Kama kichwa kinajieleza,
Mada ni muda gani sahihi wa kumchunguza mtu hadi unakuja kuwa na mahusiano nae ya kimapenzi? Pia ni muda gani baada ya kuwa nae katika mahusiano unafaa kukutana nae kimwili?
Ni hayo tu nawasilisha mada kaeni kwenye viti mada ipo mezani inahitaji mchango wa hali na mali kunisuru tunaolia lia na mapenzi ya kupemda sana halafu kuumia zaidi.
Karibuni.