🤣🤣🤣Kama siyo mwizi muda na saa yeyote waweza fanya. Mapenzi ya usiku ndio yanazalisha watoto wasio na akili; ukijisikia mchana fanya na mtoto atazaliwa mwenye akili. Kama unasafiri fanya kuanzia saa 9 au 10 alfajiri ili kuuchosha mwili; utauchapa usingizi kuanzia safari inaanza hadi unafika ONYO usipande magari yenye historia ya ajali