Muda gani mzuri wa kutongoza

Muda gani mzuri wa kutongoza

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
12,105
Reaction score
35,135
Kati ya asubuhi au mchana na jioni, maana nyakati zote zimeniwia ngumu asubuhi mtu ndio anaamka na mipandilio ya kazi pengine,mchana au jioni kazi zimemalizika ana uchovu, au jpili mtu katoka kanisani anatafakari masomo na mafundisho ntawezaje kumwambia nakaupenda! Nimekua cross way kwahilo sijui ni muda gani ufaao kuongea na mdada kwa minajili ya ndoa tuu si vinginevyo
 
duh mada zingine hizi, labda tumuulize atoto muda gani akitongozwa muda gani atatoa jibu la maana
 
Last edited by a moderator:
Labda pia si vibaya wakaulizwa watongozwaji wanapendelea mda gan
 
Kama unataka kuoa angalia wakati ambapo binti ameshaanza kupoteza kujiamini, alikuwa haendi salooni lakini sasa anaanza kubadili mitindo na uvaaji unaanza kubadilika na akitembea anatoa kifua na kukanyaga kwa kishindo ili atikisike kidogo. Kama ni mlaji tu angalia rangi ya macho na mitetemeko ya mdomo
 
Lkn matumizi ya sim na baadhi ya mitandao ya kijamii yamepungu uwezo wa watu kutongoza yaani ile face to face kwa kizazi cha leo ni ngumu couse demu akikupa namba tu ndo ameshakubali
 
Khaaaah!! We nawe bila hata aibu unampa mtu buku mbili!! Si tusi hilo!! Uko form 1 nini!!

hahahahah kipindi hiko nilikuwa o'level atoto nikikumbuka alivyonambia nacheka sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom