Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
- Thread starter
- #41
Ila Na Wew Ukiwa Kama Bi Mother Wangu Una Saut Kubwa Tuu Ya Kumshaur Na Kunitetea Vile Vile Unayo Nafasi Ya Kunikandamiza Ivyo Ni Wew Tuuu Bi Mother
Hahahaa una maneno wewe siku hizi. .... nani kakufunsisha kuongea hivi. Kipindi kile ulikuwa unaongea kipare tuu hehehehehehee.
Usijali ntakutetea hautopewa adhabu na baba yako.
