Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,934
J5 Ndio Naratiba Ya Kwenda HukoChakwikiadhee...?
Wamwitianii? Kesho ndo safari ya maili moja wataka twende wote?
Kesho Anaingia Job
J5 Ndio Naratiba Ya Kwenda HukoChakwikiadhee...?
Wamwitianii? Kesho ndo safari ya maili moja wataka twende wote?
Twende J 5 Ndio Yupo Free Zaid Mzee Wangu UyuHaya basi ntaenda mwenyewe as planned...
Kazi njema.
Asante rafikiUko vizuri rafiki.
Twende J 5 Ndio Yupo Free Zaid Mzee Wangu Uyu
Ah ah ah ah ah ah Nimejikuta Nacheka Tuuu Bi MotherWee bana unanivurugia ratiba zangu.....
Mie gatepass nshapewa ya kesho sasa wewe unataka nianze kumsumbua mshana anipe gatepass ya jumatano. Wee ukitaka kesho tena kazini twende kesho halafu kazi zako utazifanya jumatano hehehehe.
Labda mwenyewe mshana ndo anibadilishie iwe jumatano laah keshoo mapemaaaa chai naenda inywea maili moja.
Ah ah ah ahHaya wee cheka ufurahi kwa afya zako , bado uko na kicheko chako kile kile cha hatua....

Hapana Sina Mpango Huo Ila Nilitaka Kujua Tuuu Hilo Bi Mother Au Ni Dhambi Kujua?Wee unataka kuchungulia chini ya shuka wanalojifunika baba yako na mama yako??!!
Unaweza Usipate laana ila ukapofuka macho hehehehehehee
Hapana Sina Mpango Huo Ila Nilitaka Kujua Tuuu Hilo Bi Mother Au Ni Dhambi Kujua?
Mzee Baba kaingia 9t Leo..??
Utampelekea Zawad Gani Mzee Baba
Ila Usije Sema Kwa Mzee Baba Adhabu Zake Kali SanaBado unafunua shuka walilojifunika baba na mama yako.... shauri yako ngoja upofuke macho.
Wewe endelea tu...
Usijali Kasie zitamfikia hakika...!Hahahahahahaa mambo Azarel, heri ya mwaka mpya. Huyu mswedish yupo? Simuoni siku mbili tatu hizi.... amevuka mwaka salama?
Mpande salamu zangu nyingi sana, lile jina lake sijui kwanini huwa linanichanganya kila uchao. ...
Sijui ndo hivi.... Laigunian. ... muite basi aje anisahihishe nimewamiss mnoo.
Ever Smiling Kasie.
Ila Na Wew Ukiwa Kama Bi Mother Wangu Una Saut Kubwa Tuu Ya Kumshaur Na Kunitetea Vile Vile Unayo Nafasi Ya Kunikandamiza Ivyo Ni Wew Tuuu Bi MotherOk sitokusemea, ila akiona hapa na akitaka maelezo yako utajitetea mwenyewe hehehehehee.