Hivi ruzuku ya CCM unaijua hata harufu yake au unaishia kuisikia kwenye radio.Nyie ruzuku ya Chama inalea familia ya mtu wala amshtuki
Hivi ruzuku ya CCM unaijua hata harufu yake au unaishia kuisikia kwenye radio.Nyie ruzuku ya Chama inalea familia ya mtu wala amshtuki
CCM pia tena wala usiseme nikumwagiea data hapa.Nyie ruzuku ya Chama inalea familia ya mtu wala amshtuki
Ujinga tu hapo wanazungumza.
Naichukia ccm lakini siupendi upinzani wa Tz
chadema imeshakufa.....na nakuhakikishia hakuna mtu atahangaika nacho kwa sasa......sasa hivi act ndio inapaswa kupandishwa chat
Utakufa kablachadema imeshakufa.....na nakuhakikishia hakuna mtu atahangaika nacho kwa sasa......sasa hivi act ndio inapaswa kupandishwa chat
chadema imeshakufa.....na nakuhakikishia hakuna mtu atahangaika nacho kwa sasa......sasa hivi act ndio inapaswa kupandishwa chat
Ipandishwe chat na nani badala ya kujipandisha yenyewe, ina maana wewe na Uvccm ndio mmeajiliwa kuipandisha ACT?chadema imeshakufa.....na nakuhakikishia hakuna mtu atahangaika nacho kwa sasa......sasa hivi act ndio inapaswa kupandishwa chat
Failed state.jiwe hana lolote anapenda sifa tu na kuhujumu vyamaFailed party
Kwa kweli wamechoooooooooooooooka !!!Mkiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe akiongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Chama inayokutana leo Jumamosi, Machi 30, 2019, jijini Dar es Salaam.
View attachment 1057894
Huku tulipo mangongokuinama nchi inatikisika makamanda. Yaani nchi imesimama kabisa.Mkiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe akiongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Chama inayokutana leo Jumamosi, Machi 30, 2019, jijini Dar es Salaam.
View attachment 1057894
AminaMungu ibariki Chadema