Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mkiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe akiongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Chama inayokutana leo Jumamosi, Machi 30, 2019, jijini Dar es Salaam.
Update
Update
Is better than having a failed state.Failed party
Kiti cha Mh Lowasa nani kakalia? au hakikuwepo kikatiba?Mkiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe akiongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Chama inayokutana leo Jumamosi, Machi 30, 2019, jijini Dar es Salaam.
View attachment 1057894
Mungu hawezi kuibariki Chadema kwa kuendelea kukumbatia mizigo kama huyu Mashinji.Mungu ibariki Chadema
Na ACT WazalendoMungu ibariki Chadema
Natumaini kikao kitamalizika kwa kauli mbiu yenye Utaifa zaidi ya kumtukuza mtu mmoja.Mkiti wa Chadema Taifa Mhe. Freeman Mbowe akiongoza kikao maalum cha Kamati Kuu ya Chama inayokutana leo Jumamosi, Machi 30, 2019, jijini Dar es Salaam.
View attachment 1057894
IndeedFailed party
Mkuu naona unaelekea kuuliza ata 1.5trion na nyumba za NHCAtueleze kwanza ,hela za ujenzi wa ofisi ziko wapiView attachment 1057905
Sent using Jamii Forums mobile app