Ndugu wanaboard,
kuna Rafiki yangu katembelewa na rafiki yake kipenzi kutoka bongo kaja hapa Japan kwa ajili ya XMASS. cha kusikitisha huyu jamaa anafika mahali anakuwa kama kavamiwa na mapepo, anafanya vitu vya ajabu ajabu (in 20minutes) then anakuwa tena kawaida kabisa.
Kwa maelezo ya washikaji zake bongo jamaa alikua mkandamizaji maji sana na kuvuta sigara kwa wingi.
swali: Nini dalili za mtu aliyekuwa addicted na madawa ya kulevya au bangi? Je akikosa hayo madawa anakuwa na dalili gani?
Je mtu aliyekuwa addicted na pombe say safari lager akiikosa anakuwaaje?
Ili kumsaidia mtu kama huyu tufanye nini??
yeye mwenyewe hajasema kama aliwahi kutumia hivy vitu lakini tunataka kuona jinsi ya kumsaidia (ila sio kumpatia hivyo vitu tafadhali), je nini kifanyike???
Please only those who can provide the solution are welcome to comment maana ni serious case na tunapenda kupata ufafanuzi. asanteni
kuna Rafiki yangu katembelewa na rafiki yake kipenzi kutoka bongo kaja hapa Japan kwa ajili ya XMASS. cha kusikitisha huyu jamaa anafika mahali anakuwa kama kavamiwa na mapepo, anafanya vitu vya ajabu ajabu (in 20minutes) then anakuwa tena kawaida kabisa.
Kwa maelezo ya washikaji zake bongo jamaa alikua mkandamizaji maji sana na kuvuta sigara kwa wingi.
swali: Nini dalili za mtu aliyekuwa addicted na madawa ya kulevya au bangi? Je akikosa hayo madawa anakuwa na dalili gani?
Je mtu aliyekuwa addicted na pombe say safari lager akiikosa anakuwaaje?
Ili kumsaidia mtu kama huyu tufanye nini??
yeye mwenyewe hajasema kama aliwahi kutumia hivy vitu lakini tunataka kuona jinsi ya kumsaidia (ila sio kumpatia hivyo vitu tafadhali), je nini kifanyike???
Please only those who can provide the solution are welcome to comment maana ni serious case na tunapenda kupata ufafanuzi. asanteni