HIvi mzee mtei ni nani ktk chama?
Ni muasisi tu kama vile Nyerere ndani ya CCM.HIvi mzee mtei ni nani ktk chama?
traitors mtahangaika sana! zitto kashanyea kambi! guess what???
mmiliki wa chama...wenyewe wanamuita muasisi!
Tatizo la wanachama wapya wa CDM ndio hili,hawajui ukweli wa CDM ilipotoka mpaka kufika hapa,na hilo linawafanya wawe ama vipofu au wanaona na kuujua ukweli ila ni kwa sababu ya njaa zao ndio maana kila mtu anayejaribu kuongea ukweli anaitwa msaliti,kambi ya zitto na majina mengi ya ajabu ajabu.
Chadema tutakuwa pamoja mpaka ukombozi upatikane,viongozi wa chadema ni sawa na Madela haondoki mtu mpaka kieleweke
Habari za wk end wana JF,naomba tuchangia mada hii kwa umakini.kwa sasa watanzania wengi tuna imani na chama cha demokrasia CDM kuwaletea maendeleo baada ya CCM kushindwa. Lkn kwa bahati mbaya mwasisi wa chama hiki mzee wetu mtei amekuwa na ushawishi mkubwa ndani ya chama. Kwa kuwa amekifanyia mengi kukifisha hapa kilipo kwaani nakumbuka mwaka1995 nikiwa nasoma pale Tabora mzee Mtei alitoa hotuba yenye kusisimua bila kumtukana mtu km wanasiasa wa sasa. Lkn pamoja na kutambua mchango wake nilifikiri ni wkt sasa wa kuruhusu chama kijiendeshe chenyewe bila ushawishi wake. Nasikia mwenyekiti wa sasa mh Mbowe ni mkwe wa mzee Mtei. Km ni hivyo mwenyekiti hawezi kumpinga baba mkwe wake ambaye ni km mzazi wake pia. Ikiwa na maana kwamba aikienda kinyume na maagizo au mawazo ya mzee basi athari zake zinaweza kuhamia ktk mahusiano ya kifamilia.
Habari za wk end wana JF,naomba tuchangia mada hii kwa umakini.kwa sasa watanzania wengi tuna imani na chama cha demokrasia CDM kuwaletea maendeleo baada ya CCM kushindwa. Lkn kwa bahati mbaya mwasisi wa chama hiki mzee wetu mtei amekuwa na ushawishi mkubwa ndani ya chama. Kwa kuwa amekifanyia mengi kukifisha hapa kilipo kwaani nakumbuka mwaka1995 nikiwa nasoma pale Tabora mzee Mtei alitoa hotuba yenye kusisimua bila kumtukana mtu km wanasiasa wa sasa. Lkn pamoja na kutambua mchango wake nilifikiri ni wkt sasa wa kuruhusu chama kijiendeshe chenyewe bila ushawishi wake. Nasikia mwenyekiti wa sasa mh Mbowe ni mkwe wa mzee Mtei. Km ni hivyo mwenyekiti hawezi kumpinga baba mkwe wake ambaye ni km mzazi wake pia. Ikiwa na maana kwamba aikienda kinyume na maagizo au mawazo ya mzee basi athari zake zinaweza kuhamia ktk mahusiano ya kifamilia.
Kilicho nitia moyo na imani ni kwa tukio lakuwavua nyazifa wasaliti wote limebaki shetani moja ambalo sijui kwanini linan'gan'gania chama chetu.
Tumia kichwa kifikiri badala machicha. Nyerere aliacha ushawishi wake ccm lini?
Tumia kichwa kifikiri badala machicha. Nyerere aliacha ushawishi wake ccm lini?
Zitto toka nje ili wajue umuhimu wako! lol
HIvi mzee mtei ni nani ktk chama?
Mzee Mtei ni mwenyekiti wa kudumu wa SACCOS ijulikanayo kama CHADEMA, hataondoka kamwe