Brothers Karamazov
Senior Member
- Jul 13, 2023
- 152
- 391
JF hapakosekani majibu sahihi.
Naombeni kujua, muajiriwa wa Chuo cha Umma, IFM to be specific, mshahara wake ukoje? Anapewa makazi? Je, kuna allowance zozote za semina au warsha? Je wana safari za kikazi? N.k
Elimu ni shahada ya uzamili.
Asanteni.
Naombeni kujua, muajiriwa wa Chuo cha Umma, IFM to be specific, mshahara wake ukoje? Anapewa makazi? Je, kuna allowance zozote za semina au warsha? Je wana safari za kikazi? N.k
Elimu ni shahada ya uzamili.
Asanteni.