Hili la kurudia uchaguzi ni Mbingu na ardhi sitegemei kusikia wala kuona hiki kinafanyika mbele ya chama Tawala!
Iv Z'bar itakuwa ni mara ya kwanza kurudia uchaguz?mbona 2015 ilirudia?nini kilitokea?
Ccm watakubali yote isipokuwa kurudia uchaguzi
Maridhiano ya nini?
Yaani mmeahindwa uchaguzi halafu kuwe na maridhiano yanayohusu nini hasa??
Maalim ameshakubali kuwa makamu wa kwanza wa Raisi na issue imeishia hapo
Hakuna mwana CCM anayezungumzia maridhiano kwasababu hakukuwa na mafarakano!Anayeongelea maridhiano humjui?
Aliyekuwa mashekhe kuomba mazungumzo humjui?
Unakurupuka tu kama umefurushwa shimoni?
Madaraka mnayapenda ila watu ndo hawajaridhia
Shart namba 1 ,Ccm hawalitaki
Dikteta wa Tanganyika hatukubali maridhianoYes, mwafaka ni lazima uende na masharti hayo.
Hakuna mwafaka katika mazingira ya kinafiki.
Mtu aliye serious na anataka kutenda haki ili kurekebisha mambo, ni lazima awe tayari ku - sacrifice pride na ego yake...
Wazanzibari, Zanzibar ni yenu. Acheni kusikiliza CCM Tanganyika. Wanawatumia tu kwa manufaa yao. Hawana nia njema na Zanzibar na Wazanzibari kwa jumla..
Nakubaliana na wewe mkuuHili la kurudia uchaguzi ni Mbingu na ardhi sitegemei kusikia wala kuona hiki kinafanyika mbele ya chama Tawala!
Maridhiano kwani wananchi wa Zanzibar wamemkosea nani?
Wao ndiyo waliopelekewa Jeshi kutoka Tanganyika, na kutendewa kila aina ya unyama bila wao kuwa na hatia yoyote.
Mwisho wa siku muafaka na MARIDHIANO hayaepukiki kwa MUSTAKABALI MWEMA wa taifa kwa kuwa na haya:
1.Pande zote ni lazima ziweke mezani SINTOFAHAMU inayopelekea kuwa na HAMKANI kila Wakati wa UCHAGUZI.
(kutoweka mezani hakutasaidia MARIDHIANO ya kibubusa kwani SINTOFAHAMU hizo zitaendelea kila "kipindi" kikifika.
2.Resolving conflicts na negotiations inataka KILA UPANDE UWEKE WAZI kinagaubaga sababu zinazopelekea HAMKANI HIZO kwa kujicommit kuwa HAZITOREJEA(hapa ndipo ilipo kazi ikiwa hakuna NIA THABITI PANDE ZOTE).
3.Waweke TERMS za kutorudia SINTOFAHAMU hizo na ikiwa zitarejea basi WASABABISHI wachukuliwe LEGAL ACTIONS na indictment Katika mamlaka za sheria ndani na kimataifa.
4.Waweke bayana TERMS za mapinduzi ya Zanzibar...na ikiwa yalikuwa kwa ajili ya RAIA WOTE basi waulizwe wanaopinga,wanapinga kwa Sababu ZIPI...
Na wanaokubali,wamechukua hatua zipi mbaya dhidi ya wale wanaowaona WANAYAPINGA hayo mapinduzi.
Kwani sidhani Kama MAPINDUZI ambayo ni faida ya RAIA WOTE na nchi yao,itokee kundi kubwa la raia hao(half) WAYAKATAE.
Pia je mapinduzi hayo HAYATOI nafasi kwa BAADHI YA KUNDI MOJA KUBWA kunufaika kijamii,kisiasa,kiusalama,kielimu kikazi , na kiuchumi zaidi ya Lile KUNDI jengine KUBWA?
👆👆
Bila ya kufanyika hayo basi utakuwa ni mchezo
Mwisho wa siku muafaka na MARIDHIANO hayaepukiki kwa MUSTAKABALI MWEMA wa taifa kwa kuwa na haya:
1.Pande zote ni lazima ziweke mezani SINTOFAHAMU inayopelekea kuwa na HAMKANI kila Wakati wa UCHAGUZI.
(kutoweka mezani hakutasaidia MARIDHIANO ya kibubusa kwani SINTOFAHAMU hizo zitaendelea kila "kipindi" kikifika.
2.Resolving conflicts na negotiations inataka KILA UPANDE UWEKE WAZI kinagaubaga sababu zinazopelekea HAMKANI HIZO kwa kujicommit kuwa HAZITOREJEA(hapa ndipo ilipo kazi ikiwa hakuna NIA THABITI PANDE ZOTE).
3.Waweke TERMS za kutorudia SINTOFAHAMU hizo na ikiwa zitarejea basi WASABABISHI wachukuliwe LEGAL ACTIONS na indictment Katika mamlaka za sheria ndani na kimataifa.
4.Waweke bayana TERMS za mapinduzi ya Zanzibar...na ikiwa yalikuwa kwa ajili ya RAIA WOTE basi waulizwe wanaopinga,wanapinga kwa Sababu ZIPI...
Na wanaokubali,wamechukua hatua zipi mbaya dhidi ya wale wanaowaona WANAYAPINGA hayo mapinduzi.
Kwani sidhani Kama MAPINDUZI ambayo ni faida ya RAIA WOTE na nchi yao,itokee kundi kubwa la raia hao(half) WAYAKATAE.
Pia je mapinduzi hayo HAYATOI nafasi kwa BAADHI YA KUNDI MOJA KUBWA kunufaika kijamii,kisiasa,kiusalama,kielimu kikazi , na kiuchumi zaidi ya Lile KUNDI jengine KUBWA?
👆👆
Bila ya kufanyika hayo basi utakuwa ni mchezo wa KADENGE na usio na ITHIBATI yoyote kwa watu TIMILIFU VICHWANI....
N.B Karne ya 21 inahitaji AKILI NYINGI NA BUSARA zaidi ya MISULI na jazba.
Muuza Al Kasus
Anayeongelea maridhiano humjui?
Aliyekuwa mashekhe kuomba mazungumzo humjui?
Unakurupuka tu kama umefurushwa shimoni?
KWA KWELI DR HUSSEIN ALLY MWINYI TUZO YA AMANI YA NOBEL IPO MBELE YAKE ! NAAMINI ATAUNDA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA ZANZIBAR . MAGUFULI AFUATE NYAYO ZA DR HUSSEIN ALLY MWINYI .Mabibi na mabwana kumekuwa na kauli zenye mantiki tokea kwa Dk. Mwinyi rais wa sasa Zanzibar. Kauli kama hizi:
1. "CCM tuepuke kushangilia kiasi cha kuwaudhi wenzetu."
2. "Niko tayari kwa maridhiano."
Bila ya nyongeza ya neno jingine lolote, hizi ni kauli za msingi sana. Kauli hizi za matumaini, zimemtoka mwenyewe kinywani mwake, akizitoa hadharani.
Kama kuna maneno yoyote mbele au nyuma yanayokwenda na kauli hizo, kwa wazanzibari waliojeruhiwa katika uporwaji ule wa haki, basi hayo na yakachukuliwe kuwa ni mbwembwe na madoido tu ya kiswahili cha mwambao hadi pale itakapothibitika vinginevyo.
Kwake Maalim Seif, maana mfupa huu si wa kiongozi mkuu wa ACT wala mshauri wa ACT (bwana Kamilius aka Kachero Mbobezi).
Macho yote kwake Maalim Seif.
Bottom line:
1. Uchaguzi urudiwe kwenye mazingira huru, haki na yenye kuaminika ndani ya muda unaokubalika.
2. Wahanga wa hujuma za uporwaji ule wanafidiwa kikamilifu.
3. Wahusika wa dhahama lililopelekea wahanga hawa wa hapo #2 wawajibishwe vilivyo.
Palipo na nia pana njia.
Kila la kheri kwenu Maalim Seif na Dk. Mwinyi:
1. Duniani pana nobeli inanukia.
2. Akhera pana thawabu kubwa kwenu.
3. Nchini mtakuwa machampioni halisi wa amani na mshikamano wetu.
Eeh mola wetu fukuzilia mbali roho mchafu tokea kwa mzandiki yeyote. Ukayawezeshe haya kutokea ndani siku kadhaa wala si miezi!
Mazungumzo hauatakuwa na maana yoyote ile kama watu wamekufa watu wamekuwa vilema ma wengine wananusuru uhai wao hospitallini.KWA KWELI DR HUSSEIN ALLY MWINYI TUZO YA AMANI YA NOBEL IPO MBELE YAKE ! NAAMINI ATAUNDA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA ZANZIBAR . MAGUFULI AFUATE NYAYO ZA DR HUSSEIN ALLY MWINYI .
Mkuu wangu....Umemaliza kila kitu mkuu.
Watu kama wewe ulipaswa kuwa miongoni mwa wajumbe upande wa Mwinyi au Maalim kwenye mazungumzo kwa ajili ya maridhiano.
Tatizo waliomo ni design ya kina jingaletu, yefodaya, na yale mengine yanayojiona eti akili kubwa.
Bure kabisa!