Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
Binafsi! Siungi mkono muafaka wa Cuf & CCM. Sura ya nzima ya sherehe ya mapindunzi jana, imenipa twasira pana juu ya huo muafaka. Sijui wewe mwana JF, Unauanaje Muafaka.
Yaani imekupa taswira katika eneo gani hasa, sijakuelewa mantiki ya hii hoja.
hebu ipambanue kidogo..
Ivi wewe umelala ? Unazungumzia muafaka gani ,mbona makabrasha yalishafungwa zamani na sasa watu wanazungumzia mikakati ya kujenga nchi yao ,yaani wamekuacha wewe unahisabu nani kaingia mwanzo na nani kaingia mwisho uwanjani ,sasa kama hujui baada ya Raisi kuingia kuna wananchi kibao waliingia na mbali ya hivyo kuna wengine kati ya hao wananchi waliondoka mwanzo ,pole sana bro.
Mkuu MH,Binafsi! Siungi mkono muafaka wa Cuf & CCM. Sura ya nzima ya sherehe ya mapindunzi jana, imenipa twasira pana juu ya huo muafaka. Sijui wewe mwana JF, Unauanaje Muafaka.
Ndio mkuu, Hata Shei alipokuwa anatajataja mafanikio yaliyofikiwa na matarajio ya baadae, alikuwa anasisitiza kuwa hizo ni sera za CCM. Jee za CUF zitatekelezwa lini ndani ya huo Mseto? (kama sio mchanyato)Ivi wewe umelala ? Unazungumzia muafaka gani ,mbona makabrasha yalishafungwa zamani na sasa watu wanazungumzia mikakati ya kujenga nchi yao ,yaani wamekuacha wewe unahisabu nani kaingia mwanzo na nani kaingia mwisho uwanjani ,sasa kama hujui baada ya Raisi kuingia kuna wananchi kibao waliingia na mbali ya hivyo kuna wengine kati ya hao wananchi waliondoka mwanzo ,pole sana bro.
Ndio mkuu, Hata Shei alipokuwa anatajataja mafanikio yaliyofikiwa na matarajio ya baadae, alikuwa anasisitiza kuwa hizo ni sera za CCM. Jee za CUF zitatekelezwa lini ndani ya huo Mseto? (kama sio mchanyato)