APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,680
Muda mwingine unaweza kujikatia tamaa kwa maisha unayoishi,ila ukiangalia kwa wengine ndio unajua Mungu kakufavor sana, tunahangaika kutafuta pesa kukicha ili tuishi maisha manzuri kumbe kuna mtu ana hata huo uwezo wa kutafuta hizo pesa,maisha yake ya shida sana wengine wanaishi kama wanyama,jamani daima tukumbuke kumuomba MUNGU na kusifu uweza wake ulio mkuu,hapa duniani tupo kwenye mtihani ila matokeo ya mtihani tuliopewa majibu yake yapo kesho ahera,MUNGU DAIMA UTABAKI KUWA MUNGU