mchumia tumbo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 1,457
- 471
Ukombozi wa tz utaanzia huku
Sintofahamu bado inazidi kuitesa Mtwara,
Vurugu zimeendelea tangu asubuhi kuanzia saa tatu leo tar 25.01.2013, kituo kimoja cha polisi kimeteketezwa kwa moto, Mwandishi wa Channel Ten amejeruhiwa na polisi na kushonwa nyuzi saba pia gari ya polisi imeharibiwa vibaya kwa mawe.
Hali ni tete sana.
Updates
Nyumba ya Waziri Hawa Ghasia imevunjwa na wananchi pamoja na nyumba ya mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mtwara.
Pia polisi wameingia kwenye nyumba ya mwanajeshi na kumtoa na kumpa kichapo na kilichotokea ni mjeshi kupiga simu na kuwaita wenzake sasa kinachoendelea ni mpambano kati ya polisi na wanajeshi!
My take:
Huu ndo mwaka wa nguvu za umma?
Hii nchi kila kukicha kuna vituko na hata maafa vioneshavyo jinsi gani bado tumeshindwa kabisa kutumia Sayansi na Teknolojia katika maisha yetu ya kila siku (ukiondoa matumizi ya simu za mikononi na internet)...
Juzi kwenye issue ya gesi huko Mtwara, gari imechomwa moto kuzuia kuchukuliwa kwa Bibi toka Msimbati...Imesemekana Bibi alitamka kuwa gesi itakuwa maji ikiletwa Dar bila hiari ya wananchi..(imani za uchawiii hizo).
Leo Mh Diwani kazua mengine hadi nyumba zinachomwa...UCHAWI TENA......Safari yetu ya maendeleo kama jamii bado ni ndefu saaaaanaa!!!!!
Sera ya majimbo ni lazima tanzania wasio taka waame nchi
Ni kweli kabisa Mimi nipo mwanza lakini nawaunga mkono wanamtwaraNani aunge mkono upuuzi huu! we mwenyewe unasema "Gesi ni ya wanakusini na hakitoki kitu" halafu sisi tushangilie ubaguzi wako wa ki juha!
hata cc dodoma tunajiandaa na madini yetu pia
Muwe serious na breaking news zenu mambo ya kupaa na ungo ndio nini?
Aisee poleni wanamtwara,. Ila hapo kwenye mapigano ya polisi na wanajeshi pamenifurahisha kweli kama movie vile natamani ningekuwepo hapo nishuhudie mpambano.
Hapo pa Wajeshi vs Polisi Ndio patamu sana.
Ni kweli mkuu jamaa ni dhaifu knoma!.
Ka nchi kyetu hakooo kanatumbukia shimoni. Huku Kariakoo nako mgambo wa jiji walikuwa wanazichapa na polisi wa kituo cha msimbazi mchana huu.
Huu utovu wa nidhamu katika majeshi yetu kwa sasa inawazekana kusababishwa na amiri jeshi tulie nae kuwa dhaifu?
.