David Mkapa
Member
- Dec 20, 2017
- 25
- 3
Huo ni mpango wa shetani kutia watu hofu lakini hakuna tukio kama hilo hao watu wa mtwara mhogo in sehemu yao kubwa kama chakula cha kilasiku huo no uzushi wa MTU Fulani tu
Hahaha
Dalili za shetani Mas,hida jaall kuwa na umati zaanza kuonekana
Na je bado anaendelea kuzungumza, au kafunga kauli, tupia kideo.Nimepigiwa simu saa 10 alfajir nikapewa hizo taarifa. Nikajaribu kulazimisha akili yangu kuamini ila haya maswali yakawa yananipa mashaka!
1. Ushahidi kuhusu huyo mtoto uko wapi? Kazaliwa hospital gan n.k
2. Kifo kapanga Mungu na hatofikiwa mja na umauti mpaka ifike siku yake hivyo hao wadudu kumuua mtu haitatimia ila tu Mungu akipanga
3. Isijekuwa chai za Dr Shika...
Mmakonde mimi nimegoma kunywa huo uji
Usisahau hao waduduSWALI
.
..ilinyesha?