Kangomba 😂😁😀😃😄😅Mademu wa huko mambo ya kujirusha hawajui,wao wanajua tu kubangua korosho.
I
Ipo wapi hyo
chivirikitiI
Ipo wapi hyo
Nenda shooters bar karibu na uwanja wa Nangwanda Sijaona.Wahudumu wanavutia ni wa mikoa tofauti.Ila wenyeji wenye brevis,raum,vitz,harriers, premio,spacio,noah nk ndio maeneo yao ya kujishaua, majigambo mengi,mipango mingi,mashauzi mengi; matawi ya juu,wao babu kubwa, na vidharau fulani vya mbali.Msaada jamani, Leo siku ya tano bado sijapata chimbo za hapa mtwara mjini. Maaneo ya kujirusha na yenye watoto wazuri sijaona, naomba anayepafahamu vizuri mtwara anijulishe nitie nanga,
1.Naf beachMsaada jamani, Leo siku ya tano bado sijapata chimbo za hapa mtwara mjini. Maaneo ya kujirusha na yenye watoto wazuri sijaona, naomba anayepafahamu vizuri mtwara anijulishe nitie nanga,
Ndo maeneo yako hayo yakuchepukia1.Naf beach
2.Shooters
3.Kuna fukwe fulani hivi inamilikiwa na jeshi wenyewe wanaiita jeshini
Muulize mtu akuelekeze Coco BeachMsaada jamani, Leo siku ya tano bado sijapata chimbo za hapa mtwara mjini. Maaneo ya kujirusha na yenye watoto wazuri sijaona, naomba anayepafahamu vizuri mtwara anijulishe nitie nanga,
Mtwara kuna coco beach?Muulize mtu akuelekeze Coco Beach
YeahMtwara kuna coco beach?
Nenda Nafu Beach,Msemo Beach,Copa Cabana(club),kuna machimb mengne nmeyasahau,kuna chimbo la madem mpka jero unapata nikikumbuka jina nkwambiaMsaada jamani, Leo siku ya tano bado sijapata chimbo za hapa mtwara mjini. Maaneo ya kujirusha na yenye watoto wazuri sijaona, naomba anayepafahamu vizuri mtwara anijulishe nitie nanga,