The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,396
- 12,979
Soma vizuri mada mkuu, wajanja wanahoji , kuna nini nyuma? Lowassa anataka kuwatengenezea njia mafisadi?
Watu washajitengenezea ............. ndiyo maana ilipitishwa faster faster bila hata column kutimia. Lowasa alikuwa na wabunge wengi wa CCM hawakuwepo pia ........... walikuwa wameshaanza kampeni!!