AridityIndex
Senior Member
- Mar 22, 2011
- 149
- 38
HESHIMA KWENU WANAJAMVI
Nimefikiri kwa kina kuhusu umasikini wa watu wangu katika mikoa niliitaja hapo juu nimejaribu kuoanisha na rasilimali tulizo nazo.
1.Umeme wa gesi wa uhakika
2.Marine park, Mnazi bay
3.Sellou reserve,
4.Ruvuma river,
5.Hee natural habour Mtwara & Lindi
6. Zao la biashara korosho,ufuta nazi na karanga
7.Zao la chakula la uhakika mihogo
8. Uranium kule Namtumbo
9. Ardhi yenye rutuba ruvuma
10. Bahari kwa ajiri ya uvuvi
11. Closer to land locked countries malawi, zambia
12. Closer to non farming country comoro
Pamoja na rasilimali zote hizi, siasa za Tanzania zimeendelea kulifukarisha eneo letu mbaya zaidi tumeshuhudia wanasiasa wa Tanzania wakijadili kuingiza umeme wetu kwenye grade ya taifa wakati katika eneo letu wanaonufaika na umeme huu hawazidi asilimia 15.
Lakini pia nimeshughudia mijadala ya upanuzi wa bandali ya Dar wakati yetu ikidoda tu tena ina ubora wa asili kuliko hiyo Dar kieneo na kina.
Nimewahi tembelea nchi kama za Asia na nikaona manispaa zaidi ya tatu zenye uchumi imara kwa kutegemea rasilimali za bahari tu yaani Uvuvi na utalii.
hebu check hiyo orodha nadhani mnajua ni jinsi gani vinavyoweza kutuendeleza pindi tukijitenga kisiasa kutoka mikononi mwa Tanzania.
Naombeni michango yenu kimawazo wakati tukiandaa mikakati, ku-implement.
Nimefikiri kwa kina kuhusu umasikini wa watu wangu katika mikoa niliitaja hapo juu nimejaribu kuoanisha na rasilimali tulizo nazo.
1.Umeme wa gesi wa uhakika
2.Marine park, Mnazi bay
3.Sellou reserve,
4.Ruvuma river,
5.Hee natural habour Mtwara & Lindi
6. Zao la biashara korosho,ufuta nazi na karanga
7.Zao la chakula la uhakika mihogo
8. Uranium kule Namtumbo
9. Ardhi yenye rutuba ruvuma
10. Bahari kwa ajiri ya uvuvi
11. Closer to land locked countries malawi, zambia
12. Closer to non farming country comoro
Pamoja na rasilimali zote hizi, siasa za Tanzania zimeendelea kulifukarisha eneo letu mbaya zaidi tumeshuhudia wanasiasa wa Tanzania wakijadili kuingiza umeme wetu kwenye grade ya taifa wakati katika eneo letu wanaonufaika na umeme huu hawazidi asilimia 15.
Lakini pia nimeshughudia mijadala ya upanuzi wa bandali ya Dar wakati yetu ikidoda tu tena ina ubora wa asili kuliko hiyo Dar kieneo na kina.
Nimewahi tembelea nchi kama za Asia na nikaona manispaa zaidi ya tatu zenye uchumi imara kwa kutegemea rasilimali za bahari tu yaani Uvuvi na utalii.
hebu check hiyo orodha nadhani mnajua ni jinsi gani vinavyoweza kutuendeleza pindi tukijitenga kisiasa kutoka mikononi mwa Tanzania.
Naombeni michango yenu kimawazo wakati tukiandaa mikakati, ku-implement.