tusipotoshane
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 730
- 693
Kweli,ila hao wapuuzi wa Lori nao ilitakiwa wajiongeze.Wamefanya upuuzi sana kum-provoke jamaa.Madereva wa boda boda,hiace na malori akili zao huwa hazipo sawa.Hata madereva wa baadhi wa mabasi ya long safari akili zao finyu.kapepo kalimuingia