Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,275
Ninakumbuka Awamu ya kwanza Nyerere aliamua Watindiga ni lazima wasome. Walichukuliwa wale wanaoshika namba 1-10 darasani hata kama hawakufaulu darasa la saba walipelekwa shule za serikali. Mwisho wa mwezi walipewa kima cha chini cha mshahara kwani wengine walishaoa nyumbani. Lakini waliishia kupata ajira serikalini na wengine walifika chuo kikuu.Umasikini mara nyingi ni chanzo cha maovu mengi.