Kazi zake nyingine niJoram Kiango anamtumia kama 'Stelingi' kwenye simulizi zake..akiziita harakati za joram Kiango labda nikukumbushe kidogo baadhi ya kazi zake,
>Najisikia kuua tena.
>Tutarudi na roho zetu?
Joram Kiango anamtumia kama 'Stelingi' kwenye simulizi zake..akiziita harakati za joram Kiango labda nikukumbushe kidogo baadhi ya kazi zake,
>Najisikia kuua tena.
>Tutarudi na roho zetu?
Kazi zake nyingine ni
Dar Es Salaam Usiku
Pesa zako zinanuka
Salaam kutoka kuzimu
Kikwete: Safari ya Ikulu (Biograph & Autobiography)
Mwandishi huyu amefariki kama sikosei mwezi wa kumi na moja 2008
RIP Ben R. Mtobwa.
Kazi zake nyingine ni
Dar Es Salaam Usiku
Pesa zako zinanuka
Salaam kutoka kuzimu
Kikwete: Safari ya Ikulu (Biograph & Autobiography)
Mwandishi huyu amefariki kama sikosei mwezi wa kumi na moja 2008
RIP Ben R. Mtobwa.
Kazi zake nyingine ni
Dar Es Salaam Usiku
Pesa zako zinanuka
Salaam kutoka kuzimu
Kikwete: Safari ya Ikulu (Biograph & Autobiography)
Mwandishi huyu amefariki kama sikosei mwezi wa kumi na moja 2008
RIP Ben R. Mtobwa.
Hapana,kiongozi mtunzi wa story za Willy Gamba anaitwa Elvis A.Musiba (RIP)Huyu si ndo yule aliyeandika za willy gamba?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Simu ya kifo ni kitabu kilichotungwa na F.H.H Katambula (Faraji Hussein Hasan Katambula) RIPSijui, ngoja wadau watatuambia maana mimi baadaye miaka ya 1994 niliondoka nchini.
Ebanaa dah!....vichwa vya ukweli katika ulimwengu wa riwaya na masimulizi zama hizo ambazo angalau Watanzania walikuwa wanasoma vitabuDah..hawa watunzi.
Tumewapoteza.EDI GANZEL,BEN MTOBWA,A MUSIBA,HAMMIE RAJABU.
Walikua watunzi waukweli wa riwaya.
Simu ya kifo ni kitabu kilichotungwa na F.H.H Katambula (Faraji Hussein Hasan Katambula) RIP
Daah karibu watunzi wengi mahiri wa zama hizo wameshatoweka ingawa kazi za mikono yao zinaendelea kuwafaidisha wahindi na waswahili wenye bookshops pekee.
sio Kihango....ni Kiango.....mtunzi ni Ben Mtobwa(kama sijasahau)....na vitabu vingi vipo bookshops....
Kwa hakika hamu ya kusoma riwaya na tungo za masimulizi yakiswahili imeniisha kabisa toka kuondoka kwa hawa magwiji,inawezekana wapo wanaofuata nyayo zao lakini kwa kweli sijasoma riwaya yoyote ya mtunzi mpya wa riwaya za kiswahili.Da! watunzi wote wa enzi hizo tayari wamekwishatutoka? Ni uzuni sana, kwasasa ni watunzi gani ambao tunaweza tukasema angalau wanafuata nyayo zao.