Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,919
- 183,334
Cc mafurushi yoooooote.Men have a way of destroying the earth and society and acting completely unaware of who caused all the memess.
Cc mafurushi yoooooote.Men have a way of destroying the earth and society and acting completely unaware of who caused all the memess.
Kweli vile nimeachaNi kwa sababu michepuko hawana stress mkuu hawabebeshwi majukumu kama wanayo bebeshwa wake wa ndoa, halafu michepuko mingi ipo kwa ajili ya maslahi tu na si mapenzi kwahiyo huwa wanafanya hayo ili muwahonge vizuri, hongera kama kweli umeachana nayo jamii inahitaji wanaume wengine kama wewe
Umeshakuwa kama mzabzab na wewe😂😂Na wawatunze kweli mi sibague wala sichagui..
Nakula.mshangzi, Nakula single maza Nakula wote kikubwa kipumue tu
Ahahahha daaah hapana mi maneno mengi tuu...Umeshakuwa kama mzabzab na wewe😂😂
Dah! Hatari sana, siipatii picha hiyo siku ukifumaniwaAhahahha daaah hapana mi maneno mengi tuu...
Usije ukaniogopa.bure
Never happenooo....Dah! Hatari sana, siipatii picha hiyo siku ukifumaniwa
Ni upumbavu wa wanawake tu hakuna cha maana kilicholazimu ufanyike ule mkutano.Tatizo lenu huwa mnahangaika kudili na matokeo badala ya kudili na mzizi wa tatizo kwanza, nafikiri ulitakiwa kujiuliza nini kilipekea hadi huo mkutano wa beijing ufanyike yani siku mkiwa tayari kuukubali ukweli na uhalisia, basi mtakuwa mmepiga hatua moja mbele kuelekea kwenye mabadiliko vinginevyo niwape pole tu
Kapime mdundiko (ngoma)Naumwa naomba niombewe
Ni wote tu wenye hiyo capabilityMtu mwenyewe ushamuita malaya unategemea akupe nini kingine! !
Appreciate your women Bwana. If she's not your wife she's your sister. Don't defile our girls / women!
Men have a way of destroying the earth and society and acting completely unaware of who caused all the mess.
Siwezi pata ngoma mimi...Kapime mdundiko (ngoma)
na tayari unayoSiwezi pata ngoma mimi...
😂😂😂😂😂
Sina... Tutapigana hapana tayari unayo
ivi kwanini kwenye ku react emoji hawajaweka emoji😏😏niwe na dharau comment zako zote kenge weweSina... Tutapigana hapa
Ndo kenge kakupenda sasa utafanyaje ..ivi kwanini kwenye ku react emoji hawajaweka emoji😏😏niwe na dharau comment zako zote kenge wewe
Dah sio poaRoute za Mwendamseke igawilo, isimikinyi, ihowanza yani kiufupi wewe umeoa zoazoa
Fact 💪💪Malaya ana imani zawadi pekee ambayo anaweza kukupa ni pampuchi tu.
Hana kingine anachotaka kwako Zaidi Ya pesa.
Mkeo ndio Ambae unajenga nae familia na maendeleo binafsi.
Mtunze mkeo jeuri yake ni matokeo ya ujinga wako....!
Nitatoa 10k kwa mtu Ambae atanitukana tusi jipya