Mtunze mkeo Malaya hana shukrani

Mtunze mkeo Malaya hana shukrani

Ukiona mwanaume anamponda mkeo mbele yako wewe malaya wake jua anataka akutawanye mapaja akuache akahadithie wenzake kijiweni,amma kuhusu wanawake kuwa mchepuko inategemea wewe mwenyewe umejiweka kwenye angle gani!

Ukijitegesha style za kichepuko unakuwa mchepuko ukijitega style ya kuwa mke unakuwa mke so ni jinsi gani unavyojipa thamani utakuwa treated hivyo hivyo.
Hebu msitufanye sisi watoto bana, hao wanaume wanaowaponda wake zao wengine ni kaka zetu na wengine ni marafiki zetu huwa wanatuambia na tunaona matendo yao, siku hizi michepuko ndio inafaidi kuliko wake wa ndoa ndio maana wanawake wengi wanaona bora kuwa michepuko kuliko kuenda kubebeshwa mizigo huko ndoani
 
Malaya ana imani zawadi pekee ambayo anaweza kukupa ni pampuchi tu.

Hana kingine anachotaka kwako Zaidi Ya pesa.

Mkeo ndio Ambae unajenga nae familia na maendeleo binafsi.

Mtunze mkeo jeuri yake ni matokeo ya ujinga wako....!

Nitatoa 10k kwa mtu Ambae atanitukana tusi jipya
Shukrani sana kwa kutukumbusha,
Nitakuja na scenarios zinazo support hii uzi yako!!
 
Hebu msitufanye sisi watoto bana, hao wanaume wanaowaponda wake zao wengine ni kaka zetu na wengine ni marafiki zetu huwa wanatuambia na tunaona matendo yao, siku hizi michepuko ndio inafaidi kuliko wake wa ndoa ndio maana wanawake wengi wanaona bora kuwa michepuko kuliko kuenda kubebeshwa mizigo huko ndoani
Kama kaka zako wanathubutu kukaa na wewe kukwambia madhaifu ya wake zao basi ninyi nyote mnafanana akili.

Wewe umejiweka level ya mchepuko unafurahia kuelezwa madhaifu ya WiFi zako kutoka kwa kaka zako wajinga unadhani maisha ndivyo yalipaswa kuwa,mwanaume timamu hawezi kuinua kinywa chake kueleza udhaifu wa mke aliyemzalia watoto.
 
Kama kaka zako wanathubutu kukaa na wewe kukwambia madhaifu ya wake zao basi ninyi nyote mnafanana akili.

Wewe umejiweka level ya mchepuko unafurahia kuelezwa madhaifu ya WiFi zako kutoka kwa kaka zako wajinga unadhani maisha ndivyo yalipaswa kuwa,mwanaume timamu hawezi kuinua kinywa chake kueleza udhaifu wa mke aliyemzalia watoto.
Hivi unajua hata kusoma kwa ufahamu au unakurupuka tu kama nyumbu mradi na wewe uonekane umejibu, kwanza kitendo tu cha mwanaume kuchepuka tayari ni mpumbavu hana akili achilia mbali anasema nini kuhusu mke wake au mchepuko wake, wengine hatu entertain kutembea na waume za watu hakuna takataka inayoweza nishawishi niwe mchepuko wake hata ingekuwa na hela kiasi gani sina njaa wala hamu za kipumbavu kiasi hiko
 
Bora muambizane maana kuna wanaume ukiwakuta wanahudumia na kusifia michepuko yao utashangaa, na wakati huo huo mke anadharauliwa na anasemwa vibaya kila siku hadi unajiuliza alimuoa wa nini, halafu anatokea guluguja mmoja anakuambia heshima ya mwanamke ni kuolewa sasa unabaki kujiuliza ni ndoa hizi hizi au kuna nyingine..no wonder siku hizi wanawake wengi wako radhi wawe michepuko kuliko wake za watu maana wameshaona ukiwa mchepuko unafaidi kuliko ukiwa mke unaishia kubebeshwa mizigo tu!!
Na Wake wanaokimbia Waume zao, vipi?
 
Hivi unajua hata kusoma kwa ufahamu au unakurupuka tu kama nyumbu mradi na wewe uonekane umejibu, kwanza kitendo tu cha mwanaume kuchepuka tayari ni mpumbavu hana akili achilia mbali anasema nini kuhusu mke wake au mchepuko wake, wengine hatu entertain kutembea na waume za watu hakuna takataka inayoweza nishawishi niwe mchepuko wake hata ingekuwa na hela kiasi gani sina njaa wala hamu za kipumbavu kiasi hiko
Jadda mama punguza ukali wa maneno, hujafa hujaumbika kumbuka.

Waswahili wanasema, usitukane mamba kabla hujavuka Mto kalaghabao.
 
Kuna post moja niliona wanasema wanawake wote ni malaya, walioolewa wanafanya umalaya na mtu mmoja au wachache, ila wote wanategemea kulipwa, kutunzwa au kuwategemea wanaume kwa kutumia papuchi zao
 
Back
Top Bottom