habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,753
Huyu mtumishi yuko wapi siku hizi? Amekuwa kimya mno kuliko kawaida yake, nini kimemfika?
Vipi kuhusu ile ndege yake ilishatua bongo?
Nadhani si kwangu wengi wamemmisi Mzee wa kuliamsha dude,
Napenda staili yake, Mungu ampe afya njema Aliko,
Vipi kuhusu ile ndege yake ilishatua bongo?
Nadhani si kwangu wengi wamemmisi Mzee wa kuliamsha dude,
Napenda staili yake, Mungu ampe afya njema Aliko,