Sambidundahk
Senior Member
- Aug 30, 2017
- 102
- 49
Hua nacheka sana. Vijana mitandaoni walikua hawaambikiki wanaposikia gwajima anaongea hasa nduguzangu nyumbu. Walikua wanajazana jumapili kusikia mchungaji atasema nn juu ya serikali na bashite. Jamaa kakussnya sadaka za kutosha amekaa kimia. Kweli wajinga ndo waliwao.