Mtumishi wa Mungu anusurika kuuawa kwa bomu

Mtumishi wa Mungu anusurika kuuawa kwa bomu

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
5,527
Reaction score
7,121
Jana asubuhi, Alexandra, Mtumishi wa Mungu katika jiji la Kiev, Ukraine, alinusurika kuuawa kwa bomu lililodondoshwa na drone ya Urusi, juu ya nyumba aliyokuwa amelala. Mlipuko wa bomu hilo uliiteketeza nyumba hiyo kwa sekunde chache tu.

Kwa njia inayoonekana wazi kabisa kuwa ni muujiza wa Mungu, Alexandra alirushwa nje ya nyumba hiyo pamoja na godoro alilokuwa amelalia!

Walioshuhudia tukio hilo wanakiri kuwa Alexandra amenusurika kuuawa kwa muujiza wa Mungu. Muujiza huo unathibitisha uwepo wa Mungu na ukweli wa ahadi yake ya kuwalinda na kuwaepusha na mabaya, wote wanaomwamini na kumtumaini. Ahadi hiyo imeandikwa katika:

Zab 121:7-8:
"Mwenyezi Mungu atakukinga na baya lolote; atayalinda salama maisha yako. Mwenyezi Mungu atakulinda katika shughuli zako zote tangu sasa na hata milele."

Na wote tuseme: "Amina"
 
Jana asubuhi, Alexandra, Mtumishi wa Mungu katika jiji la Kiev, Ukraine, alinusurika kuuawa kwa bomu lililodondoshwa na drone ya Urusi, juu ya nyumba aliyokuwa amelala. Mlipuko wa bomu hilo uliiteketeza nyumba hiyo kwa sekunde chache tu.

Kwa njia inayoonekana wazi kabisa kuwa ni muujiza wa Mungu, Alexandra alirushwa nje ya nyumba hiyo pamoja na godoro alilokuwa amelalia!

Walioshuhudia tukio hilo wanakiri kuwa Alexandra amenusurika kuuawa kwa muujiza wa Mungu. Muujiza huo unathibitisha uwepo wa Mungu na ukweli wa ahadi yake ya kuwalinda na kuwaepusha na mabaya, wote wanaomwamini na kumtumaini. Ahadi hiyo imeandikwa katika:

Zab 121:7-8:
"Mwenyezi Mungu atakukinga na baya lolote; atayalinda salama maisha yako. Mwenyezi Mungu atakulinda katika shughuli zako zote tangu sasa na hata milele."

Na wote tuseme: "Amina"
Ameen. Haleluya!
 
Jana asubuhi, Alexandra, Mtumishi wa Mungu katika jiji la Kiev, Ukraine, alinusurika kuuawa kwa bomu lililodondoshwa na drone ya Urusi, juu ya nyumba aliyokuwa amelala. Mlipuko wa bomu hilo uliiteketeza nyumba hiyo kwa sekunde chache tu.

Kwa njia inayoonekana wazi kabisa kuwa ni muujiza wa Mungu, Alexandra alirushwa nje ya nyumba hiyo pamoja na godoro alilokuwa amelalia!

Walioshuhudia tukio hilo wanakiri kuwa Alexandra amenusurika kuuawa kwa muujiza wa Mungu. Muujiza huo unathibitisha uwepo wa Mungu na ukweli wa ahadi yake ya kuwalinda na kuwaepusha na mabaya, wote wanaomwamini na kumtumaini. Ahadi hiyo imeandikwa katika:

Zab 121:7-8:
"Mwenyezi Mungu atakukinga na baya lolote; atayalinda salama maisha yako. Mwenyezi Mungu atakulinda katika shughuli zako zote tangu sasa na hata milele."

Na wote tuseme: "Amina"
Ameeen🙏
 
Ujue hata huyo jamaa huko alipo anakuangaliaaaaa anasema dah hawa waraia wanajua kushoboka aisee!

Mi ndio maana nasemaga kila siku, hakuna uraibu mbaya kama ulokole. Bora mtu awe mlevi kuliko mlokole lialia. There is a very thin line between mlokole and dakika 3 mbele mwezi mchanga.
 
Jana asubuhi, Alexandra, Mtumishi wa Mungu katika jiji la Kiev, Ukraine, alinusurika kuuawa kwa bomu lililodondoshwa na drone ya Urusi, juu ya nyumba aliyokuwa amelala. Mlipuko wa bomu hilo uliiteketeza nyumba hiyo kwa sekunde chache tu.

Kwa njia inayoonekana wazi kabisa kuwa ni muujiza wa Mungu, Alexandra alirushwa nje ya nyumba hiyo pamoja na godoro alilokuwa amelalia!

Walioshuhudia tukio hilo wanakiri kuwa Alexandra amenusurika kuuawa kwa muujiza wa Mungu. Muujiza huo unathibitisha uwepo wa Mungu na ukweli wa ahadi yake ya kuwalinda na kuwaepusha na mabaya, wote wanaomwamini na kumtumaini. Ahadi hiyo imeandikwa katika:

Zab 121:7-8:
"Mwenyezi Mungu atakukinga na baya lolote; atayalinda salama maisha yako. Mwenyezi Mungu atakulinda katika shughuli zako zote tangu sasa na hata milele."

Na wote tuseme: "Amina"
Kama hakuna aliekufa basi naweza kusema labda ni kweli usemacho, la sivyo he was just fortunate, ni suala la laws of physics zilisababisha aka save, maana Mungu hana ubaguzi, na huwapenda watu wote, haokoi mmoja na kuacha wengine wafe
 
, juu ya nyumba aliyokuwa amelala.
Kwa Nini alilengwa yeye???

Kuna Mji unaitwa Mariopoul pale Ukraine (Mji wa bikira Maria),ule Mji ulisagwa na mabomu ya kutosha mpaka papa akaguna,,,,,kulikoni???
 
Weka picha ya Alexandra akirushwa nje na godoro
Kama huamini, hata picha ikiwekwa utasema ni photoshop!
Yn 20:29
Yesu akamwambia, “Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.”
 
Mshukuru Mungu kwa kumuongezea Alexandra siku za kuishi
1 Wathesalonike 5:18
Shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.
Tushukuru bomu la warusi halikumgawanyisha vipande vipande maana lilitua mbali
 
Back
Top Bottom