Nomadiq
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 8,551
- 22,840
- Thread starter
- #21
Mambo ya mwiko waachie wenyewe! kwa sasa ubaya ni ubwela namuulizia Setfree umemuona.mimi sijui mnawekaje ,kama una tupicha au kaklipu tupia hapa nione kama nitaweza kukuiga kiongozi
mara ya mwisho alionekana kavaa gauni la bluu, viatu vya visigino, mkoba, na alikuwa kashika biblia umemuona wapi mkuu?